Zanzibar 2020 Kwaheri ya kuonana CCM

Zanzibar 2020 Kwaheri ya kuonana CCM

Hii ya wafanyakazi wa Zanzibar kupiga kura tarehe 27.10.2020 badala ya 28.10.2020 inatakiwa iangaliwe upya japo iko kwenye utaratibu wa ZEC.
Watapiga siku zote mbili yaani tar 27 na 28 October tuone huyo Jamshed wenu Kama atatoboa.
 
HAPA KILICHOBAKI NI KUTENGENEZA SEREKALI YA MSETO TU LAKINI SI KIACHIA NCHI HII MOJA KWA MOJA
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1602366758880.png
 
Yule Babu ndo ataing'oa CCM ?
Yule unaemwita babu yy kafanya mikutano mikubwa 25 yule raiya wa mkuranga kafanya mikutano saba Zanzibar nzima ikiwemo unguja na pemba lkn mpaka watu wabebwe na malori na waoewe sh 5000 ili watu wakajaze vichwa na wengine huletwa kutoka bara kwa meli za bakharesa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hii ya wafanyakazi wa Zanzibar kupiga kura tarehe 27.10.2020 badala ya 28.10.2020 inatakiwa iangaliwe upya japo iko kwenye utaratibu wa ZEC.
Maalim kashawambia watu wote watakwenda wenye kazi na wasiyo na kazi tutaonana alfajiri ktk vituo tarehe 27 na 28

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Wagombea wa ccm huwa wanatuambia Tuache Kutegemea Kuajiriwa Na Serikali, Tujitegemee Na Tujiajiri Wenyewe!! Wakati Wao Wanatuomba Kura Ili Tuwape Ajira Waajiriwe Na wananchi.

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA VIJANA WENZANGU, HAWA WATU ZIMO KWELI VICHWANI MWAO ?


Sent using Jamii Forums mobile app
Na, ajabu, sasa wao ndo wako mstari wa mbele kuua mitaji ya ndani na sekta binafsi! ... yaani mi siwaelewi kabisa!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Zanzibar ya upinzani hoja kadhaa eti...
Skuli zote zitakua za ghotofa
Nitafuta madeni yote...
Dah, babu kachoka kwa kweli maana hapa hata mtoto wa darasa la pili B humdanganyi..
Umma uliochoka na mtawala dhalimu huwa hata hausikilizi Sera tena, bali muda wote unachotaka ni maneno hata ya uongo, kama faraja, kutoka kwa "MKOMBOZI"!
 
Salaam kutoka Zenji ,kuna uhakika kutoka kila pembe kuwa sasa ni rasmi CCM imeshazikwa Zanzibar,hilo halina mjadala ,jukwaa la CCM Zanzibar CCM huchawanyika na kumuwacha/chia baba na mwana kwenye jukwaa.
Huyu baba ameenda kufanya nini mbona anamharibia mwanawe ? Husein unahisi ana ukakasi fulani ,huwezi kurapu ukaeleweka kama mzee wako yupo pembeni.

Ukweli ni kuwa CCM haipo imeshafutika kwa wananchi ambao ndio wapiga kura,kila lifanywalo na kupangwa na kina Bashiru kutoka Tanganyika huwekwa uwanjani,mipango na mbinu zote zinajulikana na wananchi sasa kama wananchi au tuseme WaZanzibari walio wengi wanajipanga kupambana na hila hizo ovu,

CCM ijue Zanzibar watu wao wanauelewa wa uraia wao na hawababaiki na mambo ya siasa wanaangalia zaidi muelekeo wa Nchi yao na hatari inayoikabili ,kusema kweli CCM wamevuruga kumuweka Husein Mwinyi,wangeweka nokoa yeyote yule Mzanzibari kuliko kumuweka mtu ambae hata mitaa ya Zanizibar haielewi,na kusema kweli wamempa wakati mgumu sana Husein Mwinyi ,sasa hajui achague nini kati ya dini na dunia.

Mipango ya Bashiru au tuseme CCM yote ipo njenje na inaeleweka tena inaeleweka hatua kwa hatua,kuna ulazima gani kulazimisha ushindi ? Kwamba ni lazima CCM ishinde,wakati haikushinda chaguzi zilizopita ambapo kulikuwa na wagombea waZanzibar atakuja kushinda huyu ambae CCM wenyewe wametifuana ndani wenyewe kwa wenyewe na hawajakaa sawa hadi leo.

CCM acheni mbinu chafu mtaumbuka na mpira utakuja kuwaangukia watumika.
Chaguo la Wazanzibari ilikuwa na Dr. Khamisi na Dr. Khakid...... Mwinyi hakubaliki vibaya mno!... Hata Unguja tu thid time Seif atashinda kwa more than 60%. Pemba 95%..... Mwinyi alibebwa na familia yake but hana mvuto wa kisiasa afu mbaya zaidi Zanzibar hawamjui kabisa
 
Wamesema maalum lkn watu wote wenda 27 hakuna kulemaa kwani wataka waibe hapo hapo ukiwaachia pekeyao

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Nilifikiri mawakala wa vyama wanatakiwa wawepo hata hiyo tarehe 27.10.2020 na kura zihesabiwe kwa siku hiyo ili wasije wakashindilia kura nyingine.
 
Ha ha ha, baada ya Oct 28 urudi hapa kiwaaga Lissu atakuwa anarejea kwao Ubelgiji kwa aibu kubwa.
Mlisema hawezi kurudi nyumbani kwamba anaenda kuishi ukimbizini Norway, huyu anayewanyanyasa leo naona sio yeye ni mzimu wake tu.
 
Salaam kutoka Zenji ,kuna uhakika kutoka kila pembe kuwa sasa ni rasmi CCM imeshazikwa Zanzibar,hilo halina mjadala ,jukwaa la CCM Zanzibar CCM huchawanyika na kumuwacha/chia baba na mwana kwenye jukwaa.
Huyu baba ameenda kufanya nini mbona anamharibia mwanawe ? Husein unahisi ana ukakasi fulani ,huwezi kurapu ukaeleweka kama mzee wako yupo pembeni.

Ukweli ni kuwa CCM haipo imeshafutika kwa wananchi ambao ndio wapiga kura,kila lifanywalo na kupangwa na kina Bashiru kutoka Tanganyika huwekwa uwanjani,mipango na mbinu zote zinajulikana na wananchi sasa kama wananchi au tuseme WaZanzibari walio wengi wanajipanga kupambana na hila hizo ovu,

CCM ijue Zanzibar watu wao wanauelewa wa uraia wao na hawababaiki na mambo ya siasa wanaangalia zaidi muelekeo wa Nchi yao na hatari inayoikabili ,kusema kweli CCM wamevuruga kumuweka Husein Mwinyi,wangeweka nokoa yeyote yule Mzanzibari kuliko kumuweka mtu ambae hata mitaa ya Zanizibar haielewi,na kusema kweli wamempa wakati mgumu sana Husein Mwinyi ,sasa hajui achague nini kati ya dini na dunia.

Mipango ya Bashiru au tuseme CCM yote ipo njenje na inaeleweka tena inaeleweka hatua kwa hatua,kuna ulazima gani kulazimisha ushindi ? Kwamba ni lazima CCM ishinde,wakati haikushinda chaguzi zilizopita ambapo kulikuwa na wagombea waZanzibar atakuja kushinda huyu ambae CCM wenyewe wametifuana ndani wenyewe kwa wenyewe na hawajakaa sawa hadi leo.

CCM acheni mbinu chafu mtaumbuka na mpira utakuja kuwaangukia watumika.
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUS
 
Back
Top Bottom