FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Wapenzi tusaidieni Idd ni lini ?mnapofungua nyie na sisi tunapumzika..
Nawashukuru ndugu zetu waliofunga nimepata mialiko kibao na imebidi niorodhesha nianzie wapi nimalizie wapi.
Asprin usinisahau katika ufalme wako:cheer2:
Ndugu zangu, wapwa, mabinamu, invizibo, mwalimu,wana MMU na wana JF kwa ujumla, mabibi na mabwana.
Kama mnavyojua ndugu zangu na watani zangu ndio hivyo wako katika siku za mwisho mwisho za mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hitimisho lake ni kuonekana kwa mwezi hivi leo au hapo kesho.
Kwa upendo na kwa nia njema napenda kuwatangazia kuwa, leo usiku nitakuwa bize kuutafuta mwezi na Inshallah NI LAZIMA uonekane leo na wala si Kesho...Mwezi UPENDE USIPENDE. Ikiwezekana leo nyota zitakuwa Mwezi.
Kwa kuwa mwezi ni LAZIMA uonekane LEO tena kwa MACHO yangu, napenda kuwatakieni Eid El Fitr njema.. Kesho sitakuja kibaruani kwa GHARAMA yoyote ile, kwa hiyo namtakia mkoloni na Bosi wangu mpendwa LONG week end njema. Kama bosi wangu hatauona mwezi shauri yake na ubovu wake wa macho yake. Na wala hainihusu!
Hapa JF pia sitakuwepo mpaka JUmatatu, Inshalla Mola akijalia...Naomba mniweke kwenye SALA zenu ili niweze kuuona mwezi vizuri LEO na wala si KESHO!
Kwa mantiki hii basi nawatakieni Ndugu zangu Waislamu Wote na Watanzania kwa Ujumla Idi Mubarak na weekend njema.
KWA MAPENZI NA FURAHA NDUGU ZANGU NNAWAPENI MKONO WA IDI!
:violin::violin::violin:
Pole ya nini kiongozi? Kuandama kwa mwezi au kwa long weekend?
Yaani hapa navowaambia nimekesha maeneo ''nafungulia''!.....
mkoloni ananibipu sijui ana maana gani!simpigii simu mpaka jumapili jioni.
Nami naungana na Dreamliner kukupa pole kwa kurudi kibaruani tena leo....! Bado pia tunaenjoy promotions za kupiga simu bure usiku baada ya dakika ya kwanza.......!
Karibu sana leo kibaruani.. Pole sana Kiongozi.
KWANIIIII!Nami naungana na Dreamliner kukupa pole kwa kurudi kibaruani tena leo....! Bado pia tunaenjoy promotions za kupiga simu bure usiku baada ya dakika ya kwanza.......!
hivi...................?!
aaaammmm nikimcall mary nikaaaa aaam hick hick!nikamwambia aniandalie ''mdudu wa porini'' HICK HICK
itakuwaje?...
kwani?
munisi HICK HICK service yake itasubiri mwezi wa MASKATI?
KWANIIIII!
eeeeeh hick hick za kusurf mitandao ni lazima uwe ofisini???
mbona mimi niko KEREGE hapa kaunta na mtoto mary-m na ninaendelea ku hick hick na mitandao?
by the way HABARI ZA DAslamu huko?
halafu msiniambie kwamba huko dar mwezi haujaandama jamani?!
Pole ya nini kiongozi? Kuandama kwa mwezi au kwa long weekend?
KWANIIIII!
eeeeeh hick hick za kusurf mitandao ni lazima uwe ofisini???
mbona mimi niko KEREGE hapa kaunta na mtoto mary-m na ninaendelea ku hick hick na mitandao?
by the way HABARI ZA DAslamu huko?
halafu msiniambie kwamba huko dar mwezi haujaandama jamani?!
hahahahaha!Hick! Hick! Hick!!!! Sasa yule kaunta hick hick takuwa lesbian yule hick hick! mbona anabania hick hick infiii na hick hick na Meri bana? Hick!
Eid ni Ijumaa wakuu according to BAKWATA.
Accoring to BAKITA na NEMC Idd ni jumatatu.
Karibu mama! Mwezi umeshaonekana. Tatizo hamjawastukia wakoloni wenu.....Wameuficha kwenye briefcase zao ili wawatumikisheni siku ya mapumziko..
Karibu Zero Pub hapa tukamate makange, kokoto tukisukumia na serengeti za baridi:welcome::welcome::welcome:
Hahahaha! wapi homeboi Kimey?
Wewe na Dreamliner ni wafanyakazi au watumishi? Kwanza tuanzie hapo............:confused2::confused2: