hahahahaha!
aaaammm Hick Hick!!!! sasa HIck hick TERESIA hata mimi hapana HICK HICK jua yeye na maana gani HICK HICK!
aidia ni kuanza na yeyeye kwanza then HICK HICK nitakukabidhi kijiti uendelee nacho kukiki mbiza ukimaliza mpe osheniki,then muhasibu na dokta wote wamuonje LESBIAN!
mean while nitakuwa nimeshamalizana na mery then nakukabidhi!
EEEEE UNAJUA HICK HICK!infidelity ni kama mbio za kupokezana vijiti si unakumbuka?
mkuu mbona umeonekana wakati ulituaga mpk jumatatu? Anywayz hiyo zero pub ni ile ya tegeta niijuayo mimi au?
hahahaha!Hivi Teamo, hawa lesbians si ndio nasikia kuwa ukimboa tu, anakugeuzia kibao????
supu ya mnyama ipo hapo Aspirin?????Karibu tegeta mamaa la bataflai! Tukamate kokoto na biere pale zero pub:welcome:
hahahaaaa!! watumishi ndo hawatauona mwezi sio.....Halina Mjadala hili hommie....Mkoloni atalijua hili nini tofauti ya "mtumishi" na "mfanyakazi!!:violin:......mi nakuuupa mkono wa Idd.....nakupaaa mkono wa Idd...
Ah Babu yangu kwa kweli umechoka naomba nikupe ofa ya kinywaji weekend hii babu maana umenichekesha sana leo mjukuu wako.
Haya kila la kheri kama utauona mwezi babu yangu.
Lahaula walauqwata! ...ona sasa nimepaliwa na uji! :coffee:
Hapa kwetu Kimanzi Chana-Mkamba "sentensi" hiyo haitamkwi ukweni bana,...
DA acha uchokozi.......
Hivi unaweza kuiuliza maiti kaburini?
Ngoja namimi nikakuchokonoe sasa......
Umeogopa au unataka kujua?