[emoji2][emoji2][emoji23] eti nasikitika kukukosa...usitoe sympathy za uongo hapa ...Nasikitika kukukosa au kazi nyingine nini Mkuu...............!!!???
Pole kwa maswaibu braza.
kivipi?embu tuongee swahiba wangu utulie.sijavurugwa kabisa lakini kuna wana jf wanachangia sana kuwa gawa wana jf
Bora umeongea ndugu, huyu mtu anavojibu watu utafikiri mavi yani, nakumbuka thread za wakati lissu ameshambuliwa, nkawa nawaza huyu binadamu ama mnyama ...sasa hapa nashangaa anaaga au anatafuta sympathy...eti jf ina wenyewe...kwaio alitaka apost anavotaka yeye na kuongea maneno ya ovyo ovyo ya kuchefua watu anavyotaka yeye ?Ile thread ya KIPUUZI uliyopost kabla ya hii hata mimi ILINICHEFUA.
No wonder, ulipata MAJIBU uliyoyataka.
Jifunze KUHESHIMU wengine, na wewe utaheshimiwa.
Itikadi zako na kutumika kwako kusikufanye MJINGA.
JITAFAKARI.
duu ili jibu limekaa kibabe babe sanaWho cares? Just go
Tunakutakia kila la heri kwenye ID yako mpyaNapenda kuchukua nafasi kuwaaga rasmi wana JF wote.
Nashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mungu awabariki sana.
tramadol
ukishaanza kuendesha kitu chochote kwa misingi ambayo siyo ya kuanzishwa kwako lazima utegemee wengine kukaa kimya,wengine kuondoka nk sina zaidi.byekivipi?embu tuongee swahiba wangu utulie.
Wakati mwingine kufunguka kunasaidia kuondoa mzigo moyoni,maisha yaendelea.
Kwaheri piaNapenda kuchukua nafasi kuwaaga rasmi wana JF wote.
Nashukuru kwa ushirikiano wenu.
Mungu awabariki sana.
tramadol
Sawa,ila fikiria tena,and welcome to jf.ukishaanza kuendesha kitu chochote kwa misingi ambayo siyo ya kuanzishwa kwako lazima utegemee wengine kukaa kimya,wengine kuondoka nk sina zaidi.bye
Lissu ana maumivu makali sana usimuone anacheka....acheni kabisa kusema hayo jamani....watz nawajua sana Tundu anamshukuru sana mke wake ndiyo faraja yake pale alipo na watoto wake.JF ni nzuri sana ila kuna wachache wanaiharibu kwa makusudi.Tramadol bhana,usiwe na hasira za kikekike,wewe una maumivu gani kumzidi tundu lisu aliemwagiwa risasi zaidi ya 30 lkn mpaka sasa anacheka na kumshukru Mungu kwa kumpigania? Na wakati huo bado vijana wa Lumumba wakisema kuwa ana-act!!!
Tramadol acha hasira za kike njoo tuendelee kuijenga Jf.
Lukwafya
thanks for good and nice constructive ideas my broSawa,ila fikiria tena,and welcome to jf.
Jf ni wewe na mimi,sio mods.
Tukiamua kuibomoa tunaibomoa,tukiamua kuijenga tunaijenga.
Hunijui,sikujui,lakini kakae unitafakari bro.
Thank you.
duu ili jibu limekaa kibabe babe sana