Kwaherini wanaJF

- Tutakujuaje kama huyu ndiye Simplicity. utakapokuja mara ya pili?
- Lolote likikupata kabla ya 2020, ni kwa namna gani tutafahamu?

Nawasilisha,
Mentor.
 
Watu wote kina nani.

Wewe utakufa tu utake usitake.
Amini kwamba.

Kila nafsi itaonja mauti
2018.
Naisubiri kwa hamu nile pilau lako...
 
Kila la kheri....Utakuwa chama gani mkuu?kile cha asili au cha mwendokasi?au huku kwingine?
 
Utaweza kujitokeza kugombea urais wakati hapa tu umejificha kwenye ID fekelo!!?
 
Mkuu naitwa Daby. Nipo tayari kuwa Mkurugenzi wa mawasiliano katika ofisi yako 2025. Nitakuwa muwajibikaji zaidi ya gerson Msigwa kwa maharaget.

Naamini hautanisahau. Mwisho nawashauri mods kuanzia kesho ukionekana mitaa ya JF upigwe ban ya maisha.
unamuomba kazi afu unataka apigwe ban ya maisha?
 
 
Mbona hapa hapa hata sikufahamu Teh URAIS SIO uwenyekiti wa kamati ya harusi mkuu tafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…