Kwaherini

Haya bhana good luck and all the best in your life. Thanks for everything. Ni mmoja wa wanachama humu nilikuwa nafurahia kukusoma na kusoma kila kitu na kujifunza mengi niliyokuwa siyajui. Sayonara Rafiki.

Nilifikiria sana kabla ya maamuzi lakini ni siku ya mwisho kwenye hii.
 
Usiondoke banaaa! Waja leo waondoka leo? Ndiyo nini sasa Demi?
Bado nipo siondoki. Nimewaza tu kama hizi sifa nzuri zinazomwagwa hapa nami nitazipata
 
Reactions: BAK
Kwa heri mpendwa Mungu akutangulie kwa kila jambo. Tuzidi kuombeana. Kila la heri rafiki.
 
Keshateuliwa huyo tayari, haya kwendraaaaaaaa
 
Salama Dear, mambo ya mfungo tutaharibiana saumu zetu humu [emoji1] [emoji1] maana aandikacho mtu ndicho kimtokacho moyoni
Kama kwajili ya mfungo sawa...

Ila mfungo ukiisha utarudi eeh
 
Kama kwajili ya mfungo sawa...

Ila mfungo ukiisha utarudi eeh
Bado sijaaga mbona [emoji1] [emoji1] [emoji1] au unataka niage? Basi siagi maana kwa namna hii utanitafutia wa kurithi zigo langu buree
 
Bado sijaaga mbona [emoji1] [emoji1] [emoji1] au unataka niage? Basi siagi maana kwa namna hii utanitafutia wa kurithi zigo langu buree
Ha haaa na bora usiage mana utapoteza nafasi wallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…