Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wetu alipokula pension akapotea home, then mwisho wa siku akawa anaonekana bar anajiita ndogo janja😜It's Friday it's okayView attachment 3095213
😀😀😀😀 acha kuhonga ila sio pombe.Minaona....
Shida sio kuacha pombe...🤨
Shida ni.....
Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
AiseeeeAloooo....
Naongea na nani...??
Unamsaidia au unapenyeza rupia?, acha janja janja wewe.Siku ukija kupata hela, utakua unawasaidia alafu wao wataenda kujitapa kwamba unajua kuhonga..🤣
MuhudumuMinaona....
Shida sio kuacha pombe...🤨
Shida ni.....
Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
Upo sahihi bandeko baelezee baambie baelewe 😎😎Minaona....
Shida sio kuacha pombe...🤨
Shida ni.....
Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
Nimeacha pombe miaka kadhaa sasa, na sitegemei kurudia. Ila hii point umeandika imenifikirsha sana. Kuacha pombe nahisi si kitendo cha kizalendo🤣🤣🤣🤣🤣🤣kumbuka barmaid ana familia ...
View attachment 3095174