Kwahili sihitaji kushauriwa mazeee...

Kwahili sihitaji kushauriwa mazeee...

Minaona....
Shida sio kuacha pombe...🤨
Shida ni.....
Hiyo pombe tunamuachia nani...🤔
Wala usiache pombe. Maini yakioza utajua hujui. Endelea kushindana nayo. Sisi tuanaangalia mchuano kati yako na pombe mshindi atakuwa nani.
 
Wala usiache pombe. Maini yakioza utajua hujui. Endelea kushindana nayo. Sisi tuanaangalia mchuano kati yako na pombe mshindi atakuwa nani.
Drink beer and save water....🍻
 
Back
Top Bottom