Kwa akili hizi, walah Ccm itawale milele,na samia apewe kumi mingine haraka!!Poleni wana jukwaa na mihangaiko ya kutafuta chochote kitu maisha yasonge..
Sina mengi sana ila nina swali kwa wanawake leo hii, hivi ni kitu gani huwasababisha mchelewe location????
Mnaweza kuahidiana mkutane saa 10, ila cha ajabu anaweza kuja saa 12. Ukimuuliza kwanini kachelewa kuja, hana sababu ya msingi zaidi ya porojo tu.
Mimi hua najitahidi sana kuendana na muda, pia usiwe mwepesi sana kulipia chumba kabla hajafika.
Kuna baadhi ya vimeo hawakawii kukutia hasara wakaacha kuja.
#NB awe msomi, awe hajawahi kufika shule ni walewale tu.
Ndivyo walivyo hawana tofauti na wateja wa mitandaoni, nakuja nakuja mwisho wa siku wanapotea kusikojulikana.Hahaa kuna demu alinitanguliza Lodge akaniambia nilipie kabisa anakuja halafu hakutokea.
Pigaa simuu weeeee akipokea anajibu nakuja, baadae akazima na simu yenyewe.
Nikamtest muhudumu labda atanipoza nae akakataa.
Nikaona isiwe shida, nikaingia ndani nikafungulia bomba la mvua nikaoga Lisaa lizima, mpaka macho yakawa mekundu halafu huyooo nikasepa.
Nb mwanamke ni kiumbe emotional hivyo muda wowote anaeza kubadili mood tofauti na sie
Ndogo inakuwasha wewe??We chupi ya kijani nini! Kwahiyo unataka muda wote tuijadili ccm tu. Peleka wehu wako kule