Kwahiyo Askari wetu walikuwa ni watazamaji tu au?

Kwahiyo Askari wetu walikuwa ni watazamaji tu au?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Screenshot 2023-03-31 143414.png

Baadhi ya askari kutoka nchini Marekani wakihitimisha jukumu la ulinzi katika uwanja wa ndenge ya Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, baada ya Makamu wa Rais wa nchi hiyo Kamala Harris kukamilisha ziara yake ya siku tatu hapa nchi.

Kamala Harris amefanya ziara nchini Tanzania, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuzitembelea nchi tatu za Bara la Afrika.
 
Back
Top Bottom