Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mchezo wa jana uliisha kwa Azam FC ikishinda mabao manne. Lakini cha kushangaza hatujawaona wakivaa jezi yenye nembo za GSM. Je, TFF ni waongo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaizungumzia azam ya kyela au ya chamanzi?
Kama ya chamanzi basi walivaa
Ukiwa unawaza umwache Nani kati ya Wawa na Mugalu, mara wazo la Kanoute linakatisha huku unawaona Nyoni na Banda huwezi kuona nembo ya GSM.Mchezo wa jana uliisha kwa Azam FC ikishinda mabao manne. Lakini cha kushangaza hatujawaona wakivaa jezi yenye nembo za GSM. Je, TFF ni waongo!?
Walivaa na uwanha mzima ulipambwa na nembo za gsmUnaizungumzia Azam ya kyela au ya chamanzi?
Kama ya chamanzi basi walivaa
Mr Sina ushabiki wa usimba na uyanga, mambo vipiUkiwa unawaza umwache Nani kati ya Wawa na Mugalu, mara wazo la Kanoute linakatisha huku unawaona Nyoni na Banda huwezi kuona nembo ya GSM.
Tena sio tu Begani... Hadi kwenye zile Electric Billboards GSM ilikuwa inapita pita
Jana AZAM walivaa nembo ya GSMMchezo wa jana uliisha kwa Azam FC ikishinda mabao manne. Lakini cha kushangaza hatujawaona wakivaa jezi yenye nembo za GSM. Je, TFF ni waongo!?
Wameshakataa na hawatavaa. Hujasikia taarifa ya Ushindani kuwataka TFF wawasilishe mkataba wao na GSM? Uamuzi w FCC ndio utaamua ama wavae au wasivae nembo ya GSM.Mechi Kati ya Kmc na Mafua Fc, Je Mafua SC Watavaa Jersey Zenye Nembo Ya Jiesiemu?
Azam FC inawatesa wabongo wengi
Labda kama huna macho lakini azam wanavaa chapa gsmMchezo wa jana uliisha kwa Azam FC ikishinda mabao manne. Lakini cha kushangaza hatujawaona wakivaa jezi yenye nembo za GSM. Je, TFF ni waongo!?
Ahsante Kwa muongozo...
Si kweli, Labda useme wapitishe wadhamini wote. Wadhamini wa ligi lazima wawepo na WA klabu mwenyejiSema zile electric billboards sio ulazima kupitisha matangazo ya tff na wadhamini wake. Maana pale azam watumie kutangaza wadhamini wao.