Kwahiyo Azam FC wamegoma kuvaa jezi za GSM?

Kwahiyo Azam FC wamegoma kuvaa jezi za GSM?

Si kweli, Labda useme wapitishe wadhamini wote. Wadhamini wa ligi lazima wawepo na WA klabu mwenyeji

Si kweli udhamini wao unaishia katika liga na vitu vingine.

Epl ina wadhamini wengi. Ila huwezi ona kwenye billboard za uwanjani inapita matangazo ya wadhamini katika vilabu, ila vilabu vinatumia kujitangaza na wadhamini wao
 
Si kweli udhamini wao unaishia katika liga na vitu vingine.

Epl ina wadhamini wengi. Ila huwezi ona kwenye billboard za uwanjani inapita matangazo ya wadhamini katika vilabu, ila vilabu vinatumia kujitangaza na wadhamini wao
Ok . Ntafatilia basi
 
Back
Top Bottom