uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Naangalia hapa mashindano ya mashule kwa mpira wa miguu ngazi ya Afrika,
Haya mashindano bila shaka yamefana sana lakini nimeona kasoro kwenye team ya Tanzania wasichana ambapo kocha ni Bakari Shime.
Kwa ninavyo faham hizi team huwa shule zinashindanishwa ambapo shule mshindi inaenda na kushiriki ngazi ya afrika endapo utashinda kwa ukanda wa afrika mashariki ambapo msimu uliopita Fountain Gate walichukua huu ubingwa.
Msimu huu chini ya "master of all...."Bakari Shime naona watoto wanahangaika kutafuta nafasi ya tatu Sasa najiuliza Bakari Shime sio mwl wa shule yoyote ya Sekondari hapa nchini imekuwaje aongoze team ya sijui hapa hata ni shule gani hii iliyoingia.
Nadhani nafasi kama hii angeenda kocha wa team ya shule ya wanawake.
Haya mashindano bila shaka yamefana sana lakini nimeona kasoro kwenye team ya Tanzania wasichana ambapo kocha ni Bakari Shime.
Kwa ninavyo faham hizi team huwa shule zinashindanishwa ambapo shule mshindi inaenda na kushiriki ngazi ya afrika endapo utashinda kwa ukanda wa afrika mashariki ambapo msimu uliopita Fountain Gate walichukua huu ubingwa.
Msimu huu chini ya "master of all...."Bakari Shime naona watoto wanahangaika kutafuta nafasi ya tatu Sasa najiuliza Bakari Shime sio mwl wa shule yoyote ya Sekondari hapa nchini imekuwaje aongoze team ya sijui hapa hata ni shule gani hii iliyoingia.
Nadhani nafasi kama hii angeenda kocha wa team ya shule ya wanawake.