Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 5,122
- 5,104
Strange logic. Bw Mwashambwa nilitarajia ungekanusha kwamba CCM haina upuuzi huo kabisa. Sasa wewe CCM kulinganishwa na CHADEMA na kupewa “unafuu” unaona raha kabisa!Kichwa chako kina akili sanaa wewe.. Mungu aendelee kukujalia maisha marefu ili niendelee kuona mawazo yako humu jukwaani. Wewe ni akili kubwa.
Anyway, the stuff is obviously fake.