Kwahiyo Dkt. Mwaka hatagawana mali pasu kwa pasu na mke wake kama ilivyo kwetu wakristo tukiachana?

Kwahiyo Dkt. Mwaka hatagawana mali pasu kwa pasu na mke wake kama ilivyo kwetu wakristo tukiachana?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kwetu wakristo tukiachana mali huwa zinagongwa pasu kwa pasu, ni maumivu juu ya taabu?

Kwa upande wa pili ni kwamba dr mwaka hana wajibu wa kugawa mali ?
 
Wakienda mahakamani mgao upo pale pale
 
Kwetu wakristo tukiachana mali huwa zinagongwa pasu kwa pasu, ni maumivu juu ya taabu?

Kwa upande wa pili ni kwamba dr mwaka hana wajibu wa kugawa mali ?
Hakuna utaratibu wa talaka ya Kikristo.
 
Hakuna utaratibu wa talaka ya Kikristo.
Sorry! Naomba unifafanulie hapa, kwamba wakristo hawaachani au kwa sheria zao hakuna talaka au wanatalikiana wale tu wanaooana bomani?
 
Kwetu wakristo tukiachana mali huwa zinagongwa pasu kwa pasu, ni maumivu juu ya taabu?

Kwa upande wa pili ni kwamba dr mwaka hana wajibu wa kugawa mali ?
Wakristo hakuna kugawa nusu kwa nusu kama mwanaume alikuwa na Mali kabla ya ndoa.
 
Kwetu wakristo tukiachana mali huwa zinagongwa pasu kwa pasu, ni maumivu juu ya taabu?

Kwa upande wa pili ni kwamba dr mwaka hana wajibu wa kugawa mali ?
Ila Kuna watu ni wapumbavu halafu hawaogopi kuonesha upumbavu wao hadharani.

Nioneshe ni wapi kwenye BIBLIA panazungumzia MGAWANYO WA MALI na TALAKA??

Enzi wapumbavu mlio ota UZWAZWA, siyo kila mru asiye MUISLAM Basi ni MKRISTO!!!

Siyo kila mtu asiyefuata mambo ya KIISLAM anafanya ya KIKRISTO.

UKATORIKI siyo UKRISTO.
 
Back
Top Bottom