Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Kila kona kijiwe cha bodaboda. Kila kwenye kauwazi kijiwe cha bodaboda. Haya ndiyo maendeleo? Kwamba watu hawana mawazo mbadala zaidi ya kuwa bodaboda? Kwamba serikali imehalalisha bodaboda kuwa ajira rasmi?
Watozwe kodi basi kama ni ajira rasmi. Wazee kwa vijana sasa wamekuwa bodaboda. Idadi ya vijana wenye mguu mmoja mitaani inaongezeka taratibu, vifo vya bodaboda navyo haviko nyuma.
Nashauri serikali kuwatoza kodi bodaboda na kuwafidia pindi wakipata ajali na kuwa na ulemavu wa kudumu. Wakifa familia zao zilipwe.
Kila kona kijiwe cha bodaboda. Kila kwenye kauwazi kijiwe cha bodaboda. Haya ndiyo maendeleo? Kwamba watu hawana mawazo mbadala zaidi ya kuwa bodaboda? Kwamba serikali imehalalisha bodaboda kuwa ajira rasmi?
Watozwe kodi basi kama ni ajira rasmi. Wazee kwa vijana sasa wamekuwa bodaboda. Idadi ya vijana wenye mguu mmoja mitaani inaongezeka taratibu, vifo vya bodaboda navyo haviko nyuma.
Nashauri serikali kuwatoza kodi bodaboda na kuwafidia pindi wakipata ajali na kuwa na ulemavu wa kudumu. Wakifa familia zao zilipwe.