Kwahiyo mkiwaomba 'Rushwa' na Wakiwanyima ndiyo mnapandwa na Hasira na Kuwakamata mbona wakiwapeni hamtangazi Kuwashukuru?

Kwahiyo mkiwaomba 'Rushwa' na Wakiwanyima ndiyo mnapandwa na Hasira na Kuwakamata mbona wakiwapeni hamtangazi Kuwashukuru?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Basi la Friends linalofanya safari zake kutoka Uganda kwenda mkoani Mwanza, limekamatwa mkoani Geita na Kikosi cha Kupambana na Magendo cha TRA, likiwa limebeba shehena ya vipodozi hatari vilivyopigwa marufuku kuingia nchini, pamoja na bidhaa ambazo zinadaiwa kupitishwa mpaka wa Mtukula kinyemela bila kulipiwa kodi ya serikali.

Chanzo: ITV Tanzania

Mbona Kawe Beach, Kunduchi Beach na Mbweni Beach 24/7 Vitu vya Magendo vinaingia mno na wala hamuwakamati?
 
Basi la Friends linalofanya safari zake kutoka Uganda kwenda mkoani Mwanza, limekamatwa mkoani Geita na Kikosi cha Kupambana na Magendo cha TRA, likiwa limebeba shehena ya vipodozi hatari vilivyopigwa marufuku kuingia nchini, pamoja na bidhaa ambazo zinadaiwa kupitishwa mpaka wa Mtukula kinyemela bila kulipiwa kodi ya serikali.

Chanzo: ITV Tanzania

Mbona Kawe Beach, Kunduchi Beach na Mbweni Beach 24/7 Vitu vya Magendo vinaingia mno na wala hamuwakamati?
Na huku Nyamisati kuna mamia ya majahazi, mitumbwi na madau yanaingiza bidhaa kila leo.
 
Back
Top Bottom