GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Niwahakikishie wananchi sasa ulinzi upo wa kutosha na doria zipo, kama zilikuwa nne sasa hivi ziko 12 kwahiyo waweke ulinzi wa kutosha kwenye nyumba zao, hiki kilichojitokeza kimetuamsha," - Raia Nassor, Mwenyekiti wa Mtaa wa Mzimuni Kawe.
Chanzo: EastAfricaTv
Kwa Viongozi Majuha kama hawa na wengi walioko katika Ngazi mbalimbali kwa Tanzania Kupiga hatua za Kimaendeleo haraka na Matukio ya Kiuhalifu kupungua itakuwa ni Ngumu na sawa na Ndoto za Alinacha tu.
Chanzo: EastAfricaTv
Kwa Viongozi Majuha kama hawa na wengi walioko katika Ngazi mbalimbali kwa Tanzania Kupiga hatua za Kimaendeleo haraka na Matukio ya Kiuhalifu kupungua itakuwa ni Ngumu na sawa na Ndoto za Alinacha tu.