Kwahiyo ndio tumeshakubaliana kwamba barakoa za vitambaa nazo zinatukinga?

Kwahiyo ndio tumeshakubaliana kwamba barakoa za vitambaa nazo zinatukinga?

Ta Nanka

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
1,351
Reaction score
2,079
Ni wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
 
Kupanga ni kuchagua...
IMG-20200426-WA0000.jpg


SangaweJr
 
Zinawalinda zaidi wanaokuzunguka ili utakapokohoa virusi visiende mbali sana na hivyo kupunguza kasi ya kusambaa virusi
 
Hazina uwezo wa kuzuia virusi. Case closed.
Ni wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
 
Vip na zile za vitenge. Mana mafundi nguo wako busy kweli.
 
Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....

Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??

Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua chapati Mask yako ya 250 na maisha yanasonga mbere..
FB_IMG_1587544200901.jpg
 
Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....

Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??

Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza surgical mask unazipata wapi sasaivi..?
 
Back
Top Bottom