Kwahiyo ndio tumeshakubaliana kwamba barakoa za vitambaa nazo zinatukinga?

Kwahiyo ndio tumeshakubaliana kwamba barakoa za vitambaa nazo zinatukinga?

Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....

Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??

Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazifahamu satini Bonny au umeona tu mahali imeandikwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah hzi mask zimekua adimu na expensive,

Sent using Jamii Forums mobile app

Ila nilichogundua baada ya kufanya utafiti wangu mitandaoni, ukiwa na mask nzuri kama n95 au hizi ffp unaweza kuitinga hata mwezi na bado ikawa katika ubora wa juu sema labda itachafuka tu. Hiyo wanayosema kuvaa masaa manne nadhani ni kwa madaktari wale walioko maeneo hatarishi. Cha maana ni kwamba N95 hata uivae wiki mbili bado itakua na uwezo mkubwa zaidi wa kukukinga na virusi kuliko mask ya kitambaa.
 
Barakoa 5 kwa siku ni elfu 12,500.Si heri kukaa ndani tu maana kwa msosi wa siku hiyo hela inatosha
Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....

Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??

Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nilichogundua baada ya kufanya utafiti wangu mitandaoni, ukiwa na mask nzuri kama n95 au hizi ffp unaweza kuitinga hata mwezi na bado ikawa katika ubora wa juu sema labda itachafuka tu. Hiyo wanayosema kuvaa masaa manne nadhani ni kwa madaktari wale walioko maeneo hatarishi. Cha maana ni kwamba N95 hata uivae wiki mbili bado itakua na uwezo mkubwa zaidi wa kukukinga na virusi kuliko mask ya kitambaa.
Yeah N95 kama hauna mizunguko ming sana na hauend maeno hatarishi kama yalivyoainishwa na wataalamu ni bora ukawa nayo hyo...

Otherwise routine ya kubadlisha kila baada ya 4 hours inabd ihusike


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nilichogundua baada ya kufanya utafiti wangu mitandaoni, ukiwa na mask nzuri kama n95 au hizi ffp unaweza kuitinga hata mwezi na bado ikawa katika ubora wa juu sema labda itachafuka tu. Hiyo wanayosema kuvaa masaa manne nadhani ni kwa madaktari wale walioko maeneo hatarishi. Cha maana ni kwamba N95 hata uivae wiki mbili bado itakua na uwezo mkubwa zaidi wa kukukinga na virusi kuliko mask ya kitambaa.
Ukiweza kui sterilize unatinga hata miezi sita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
Kuendekeza ujinga

Maccm yamepandikiza ujinga kila mahali










kush and Wisdom
 
Hadi taasisi za umma zinagawia watumishi barakoa zilizoshonwa na waswahili kwa vitambaa vya shati za shule za vijana wetu
Wanaposema hili ni taifa la watu maskini huwa mnadhani wanatania.

Maccm kila siku kazi kujisifu tumenunua ndege tumejenga madaraja wakti sekta ya afya ipo taabani








kush and Wisdom
 
Ni wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
Tatizo ni umasikini wa kutupwa
 
Back
Top Bottom