Ni wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
Who endowed you with the power to close the case?Hazina uwezo wa kuzuia virusi. Case closed.
Who endowed you with the power to close the case?
Nunua chapati Mask yako ya 250 na maisha yanasonga mbere..Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....
Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??
Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza surgical mask unazipata wapi sasaivi..?Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....
Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??
Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah zimekua issue sana kuzipata, Kuna mji nilitembelea nafika pharmacy nasema ngoja niongeze stock ndio kwanza wao wanataka kuniuzia za vitambaaKwanza surgical mask unazipata wapi sasaivi..?
Tutaanza kutembea na portable thermose ukisikia njaa unakunywa chai na barakoaNunua chapati Mask yako ya 250 na maisha yanasonga mbere..
View attachment 1437956
Mi nilibahatisha mahali ffp2 nimeuziwa moja 5000 na zenyewe zilikua zimebaki pisi chache tu.Yeah zimekua issue sana kuzipata, Kuna mji nilitembelea nafika pharmacy nasema ngoja niongeze stock ndio kwanza wao wanataka kuniuzia za vitambaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi ufungwe, hili jibu limetutosha sote