Unazifahamu satini Bonny au umeona tu mahali imeandikwa?Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....
Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??
Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo taasisi ni dead institution, ifutweHadi taasisi za umma zinagawia watumishi barakoa zilizoshonwa na waswahili kwa vitambaa vya shati za shule za vijana wetu
Yeah hzi mask zimekua adimu na expensive,Mi nilibahatisha mahali ffp2 nimeuziwa moja 5000 na zenyewe zilikua zimebaki pisi chache tu.
[emoji1787][emoji1787] acha uongo dogo hem tupia picha ya mtu aliyevaa satini
Ha ha ha ha unajifanya unajuaa kuniotea, anyways nmekumiss kama barakoa za satini[emoji1787][emoji1787] acha uongo dogo hem tupia picha ya mtu aliyevaa satini
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mdogo wangu nakuelewa vizuri sana [emoji16][emoji16]. Nimekumiss pia usinisahau hivyo utakuja kukuta kaburiHa ha ha ha unajifanya unajuaa kuniotea, anyways nmekumiss kama barakoa za satini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo surgical Mask ni kati ya 2500-3000 na unaambiwa uvae kwa masaa manne....
Average ya Mask 2 kws siku mwenye hyo elf 5 ya kila siku kwa ajili ya Barakoa nan??
Acha tupambane na satini zetu tu mkuu usiku unafua asubh unaitinga kama jana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ila kwel bwana maana hii hali sa hv mmh haitabiriki ila.ntakutafuta usjal DogoWewe ni mdogo wangu nakuelewa vizuri sana [emoji16][emoji16]. Nimekumiss pia usinisahau hivyo utakuja kukuta kaburi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio maana tunashauriwa kukaa ndan kama huna shughuli ya muhimu sana kukulazimisha kutokaBarakoa 5 kwa siku ni elfu 12,500.Si heri kukaa ndani tu maana kwa msosi wa siku hiyo hela inatosha
Yeah N95 kama hauna mizunguko ming sana na hauend maeno hatarishi kama yalivyoainishwa na wataalamu ni bora ukawa nayo hyo...Ila nilichogundua baada ya kufanya utafiti wangu mitandaoni, ukiwa na mask nzuri kama n95 au hizi ffp unaweza kuitinga hata mwezi na bado ikawa katika ubora wa juu sema labda itachafuka tu. Hiyo wanayosema kuvaa masaa manne nadhani ni kwa madaktari wale walioko maeneo hatarishi. Cha maana ni kwamba N95 hata uivae wiki mbili bado itakua na uwezo mkubwa zaidi wa kukukinga na virusi kuliko mask ya kitambaa.
Ukiweza kui sterilize unatinga hata miezi sitaIla nilichogundua baada ya kufanya utafiti wangu mitandaoni, ukiwa na mask nzuri kama n95 au hizi ffp unaweza kuitinga hata mwezi na bado ikawa katika ubora wa juu sema labda itachafuka tu. Hiyo wanayosema kuvaa masaa manne nadhani ni kwa madaktari wale walioko maeneo hatarishi. Cha maana ni kwamba N95 hata uivae wiki mbili bado itakua na uwezo mkubwa zaidi wa kukukinga na virusi kuliko mask ya kitambaa.
Poa dogoHa ha ha ha ila kwel bwana maana hii hali sa hv mmh haitabiriki ila.ntakutafuta usjal Dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuendekeza ujingaNi wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
Wanaposema hili ni taifa la watu maskini huwa mnadhani wanatania.Hadi taasisi za umma zinagawia watumishi barakoa zilizoshonwa na waswahili kwa vitambaa vya shati za shule za vijana wetu
Tatizo ni umasikini wa kutupwaNi wazi sasa barakoa za vitambaa ndio 'habari ya mjini'. Sasa niwaulize wataalamu wetu wa afya, hizi barakoa zina uwezo wa kuzuia hivi virusi? Kama jibu ni hapana, sasa kwanini hamjachukua nafasi yetu badala yake mmeacha tu wananchi wazivae?
Au tunavaa barakoa ili iweje?
Sasa basi tuambiwe tu kwamba, " jamani hizi barakoa hazina uwezo wa kuwakinga ila kwa sababu ya umaskini wa kutupwa basi vaeni tu!"Tatizo ni umasikini wa kutupwa