kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?