Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
ana kijiji/apartment pale dom panaitwa kwa ndugai. pesa zakujenga alipata wapiiNdugai anaishi kama mama wa nyumbani tena asiye na furaha na ndoa yake. Anatamani aende peponi akapumzike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ana kijiji/apartment pale dom panaitwa kwa ndugai. pesa zakujenga alipata wapiiNdugai anaishi kama mama wa nyumbani tena asiye na furaha na ndoa yake. Anatamani aende peponi akapumzike.
Udini unatoa mtu fahamu! UnaboaMiaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba
Ndugai alikua ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri mkuu
Lakini Mungu sio Bashiru wala John Pombe walotaka hayakua leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake
Zile zama za kutekwa kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima!!Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata,huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!!
Huyu na hayati walikua chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao,nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba aibu kweli, tena nyingi zilikua ni dola za kimarekani,huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza dola za kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikua Rais wa Wanyonge!!
Wanyonge wa hayati ni kina Bashiru, makonda labda,Uharibifu alotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Legacy haupotei kwa sababu ameacha physical infrastructure nyingi mno. Utahangaika sana kupoteza legacy ya mtu kama huyo.Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba
Ndugai alikua ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri mkuu
Lakini Mungu sio Bashiru wala John Pombe walotaka hayakua leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake
Zile zama za kutekwa kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima!!Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata,huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!!
Huyu na hayati walikua chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao,nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba aibu kweli, tena nyingi zilikua ni dola za kimarekani,huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza dola za kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikua Rais wa Wanyonge!!
Wanyonge wa hayati ni kina Bashiru, makonda labda,Uharibifu alotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Hapo tungekuwa tumetawaliwa na mgonjwa bin mwendawazimu!Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Nachojiuliza alipanga kwenda zitumia wapi hizo fedha,manake Kama ni bata,hakuwa mlaji Bata,bado alikuwa na ushamba wa kisukuma,mtu anakuwa na ng'ombe wengi ila anaishi kifukara tu 😅😅🏃Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
peponi unafikiri unafika tu kwa kaumua?Ndugai anaishi kama mama wa nyumbani tena asiye na furaha na ndoa yake. Anatamani aende peponi akapumzike.
Kama Legacy ya Mwamba Magufuli imefutika huu Uzi wa nini? Pumbavu!!!Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Kijana magu wenu hakuacha legacy kabisa nchi hii badala yake aliacha uovu mwingi nyuma yake! sujui kwanini enyi kizazi cha nyoka hamtaki kuona hili!Kama Legacy ya Mwamba Magufuli imefutika huu Uzi wa nini? Pumbavu!!!
Hakika Tanzania ilipata rais mbaya kupindukia aliyekuwa amejivisha ngozi ya kondoo na kasha la wanyonge!Miaka miwili iliyopita siku kama hizi hawa mabwana wawili Chamuriho na Ndugai waliutaka Urais kwa udi na Uvumba.
Ndugai alikuwa ashajiandaa kabisa kuwa Rais na kukaa Ikulu Chamuriho naye aliahidiwa Uwaziri Mkuu, lakini Mungu siyo Bashiru wala John Pombe waliotaka hayakuwa leo hii Rais ni Samia Suluhu Hassan watake na wasitake.
Zile zama za kutekwa, kupotea na kupigwa risasi hazipo tena, nchi imetulia kila mtu anafanya Siasa za kistaarabu atakavyo.
Kwa ujumla tunaweza kusema kuwa Legacy ya yule bwana imefutika na kupotea mazima! Sasahivi wananchi wanaujua ukweli kuhusu yule bwana.
Ndugai na Chamuriho mnastahili aibu na anguko mlilolipata, huyu Chamuriho naye ni wa kumuhoji hayo mabilioni aloyajaza kwenye akaunti za nje aseme alizitoa wapi!
Huyu na Hayati walikuwa chanda na pete, huyu nae walishirikiana na hayati kuzidisha mapesa ya miradi ili wapige kupitia makampuni yao uchwara.
Awamu ya 5 nchi ilinuka ufisadi wa Hayati Magufuli, pesa ziliwajaa kufuru hadi wakaenda kuzificha China, Canada, na Malaysia.
Hata mshipa wa aibu hakua nao, nyingine zilikutwa Chato zimejazwa kwenye mifuko na majaba, aibu kweli. Tena nyingi zilikua ni Dola za Kimarekani, huku akituambia tuwapuuze mabeberu na vibaraka wao huku yeye akijaza Dola za Kimarekani huko kwenye mifuko na majaba Chato halafu kuna watu wanaamini eti alikuwa Rais wa Wanyonge!
Wanyonge wa Hayati ni kina Bashiru, Makonda labda, uharibifu aliyotia kwenye taifa huyu mwendazake itachukua miaka mingi nchi kujiponya, hadi leo najiuliza ilikuaje akawa Rais?
Bashiru, Polepole, Ndugai na wengineo ni clue ya kuikomboa Tanzania.
Unamzungumzia marehemu asiye weza kukujibu chochote,amelala mazima wala hataamka tena.
Shughulika na waliopo kushughulika na hamna ni upotevu wa muda usio na msingi wowote mkuu, tafuta pesa mkuu legacy yako italindwa na chawa wako.
Narudia tafuta hela mengine ni mbwembwe tu.
Sawa nyie tukaneni tu, ila muwe mmeshaandaa sehemu za kukimbilia soon.
Huu hapaTuwekre ushahidi ili kulinda Heshima ya JFs
Legacy haupotei kwa sababu ameacha physical infrastructure nyingi mno. Utahangaika sana kupoteza legacy ya mtu kama huyo.
Mama bado hajaanza physical infrastructure, labda ataanza miaka ijayo au after 2025.