Kwahiyo Ndugai na Chamuriho ndio mliutaka Urais miaka 2 iliyopita?

Udini unatoa mtu fahamu! Unaboa
 
Legacy haupotei kwa sababu ameacha physical infrastructure nyingi mno. Utahangaika sana kupoteza legacy ya mtu kama huyo.
Mama bado hajaanza physical infrastructure, labda ataanza miaka ijayo au after 2025.
 
Nachojiuliza alipanga kwenda zitumia wapi hizo fedha,manake Kama ni bata,hakuwa mlaji Bata,bado alikuwa na ushamba wa kisukuma,mtu anakuwa na ng'ombe wengi ila anaishi kifukara tu 😅😅🏃
 
Watu wanaojinadi wameridhiana Ili Nchi itulie, ndo hao Kila kukicha wanaotukana na kudhalilisha wengine.

Kuna kitu mnakitafuta, Si Bure.
 
Kama Legacy ya Mwamba Magufuli imefutika huu Uzi wa nini? Pumbavu!!!
 
Hakika Tanzania ilipata rais mbaya kupindukia aliyekuwa amejivisha ngozi ya kondoo na kasha la wanyonge!
 

Ukifa mate do yako yanakufuata. Wewe umuuwe Saanane halafu tusiseme kisa umekufa? Angelijua Hilo asinge uwa.
 
Sawa nyie tukaneni tu, ila muwe mmeshaandaa sehemu za kukimbilia soon.

Hakimbii mtu, ukileta ujinga wa Magu karma inakuondoa moja kwa moja. Nchi ni ya watanzania sio kundi la watu wachache. Huwezi kuongoza watu Kama watoto wako nyumbani. Stupid magufuli
 
Legacy haupotei kwa sababu ameacha physical infrastructure nyingi mno. Utahangaika sana kupoteza legacy ya mtu kama huyo.
Mama bado hajaanza physical infrastructure, labda ataanza miaka ijayo au after 2025.

Kama infrastructure Marais wote wamejenga, yeye sio wa kwanza. Legacy aliyoiacha ni kuuwa Raia wake na kuwatupa kwenye viroba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…