Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Hilii ndio jibu kamiliiimwana ni msaka tonge?
Vp mumeo amekula?Wewe umefanya nini kabla ya kulaumu watu wengine? Watu wanapambana na kifusi huko wewe unakimbilia mtandaona kutajataja watu.
Peter msechu hili waliokufa kariakoo halijamuuma?
Au kwenye misiba ya viongozi wakifa kuna per diem anapata? Ila akiimba hili la kariakoo hamna chochote kitu?au mwana ni msaka tonge?
Ukimpa gharama za studio ataumia.Peter msechu hili waliokufa kariakoo halijamuuma?
Au kwenye misiba ya viongozi wakifa kuna per diem anapata? Ila akiimba hili la kariakoo hamna chochote kitu?au mwana ni msaka tonge?
Karibia wasanii wotePeter msechu hili waliokufa kariakoo halijamuuma?
Au kwenye misiba ya viongozi wakifa kuna per diem anapata? Ila akiimba hili la kariakoo hamna chochote kitu?au mwana ni msaka tonge?
Kwanini Kwa viongozi ndo anajifanya kimbelembele?tuna wasanii wengi tu asilaumiwe yeye tu!