Kwahiyo tukifurika ( tukijaa sana mpaka pomoni ) Mahakamani ndiyo ataachiwa upesi au?

Kwahiyo tukifurika ( tukijaa sana mpaka pomoni ) Mahakamani ndiyo ataachiwa upesi au?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.
 
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.
Tukienda nongwa.Tusipoenda nongwa.Waswahili wapuuzi mpoje?Nongwa kila kona!
 
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.

Wewe kinakuuma nini Adui yako akishindwa? So ufurahi
 
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.
Ww jamaa unajionaga sijui nan yaan, Ila tambua kwamba ww ni kilaza mkubwa Sana kuwahi kutokea humu ndan toka kuanzishwa kwa jf
 
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.
Point taken ✔️ kumbe wanakomoa 🤔🤔🤔 kwamba wanavyoongea ndo wanawapa hasira zaid ya kukukomoa 🤔🤔🤔. Kumbe hapo ni watu wanakomolewa tu!!!
 
Mnyika ni kilaza,unashutumu majaji wakati kesi inaendelea. Mpaka sasa mambo mengi yametokea kitaifa ye kama katibu amekaa kimya.
 
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.
Siyo ili atoke, nadhani, lengo ni kushuhudia ufedhuli wa mahakama zetu, na jinsi serikali inavyoendesha nchi kama genge la wahalifu waliojazana kila sehemu. Hii ni kumbukumbu na ushahidi mzuri.
 
Kwahiyo tukijaa mpaka pomoni ndiyo itakuwepo au Mhusika ataachiwa upesi? Acheni tu Wazungu watuone Waafrika hamnazo kwani tunastahili
Wewe ndiyo inaonekana kuwa hamnazo. Watu hujaa hata kwenye misiba au kwa mgonjwa, hivi huwa wanamfufua marehemu au kumponya mgonjwa?

Humu JF kuna watu unaweza kuamini wapo vizuri kichwani, na inaonekana wana akili, lakini wanafurahia zaidi kuwa wendawazimu kuliko kuwa werevu.

Kwa huu ubaradhuli unaofanywa na Serikali na hao majaji wa TIS waliotumbukizwa mahakamani, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeitarajia hukumu ya haki, lakini kwenda na kuwa mashuhuda wa namna nchi yetu inavyoendeshwa na genge la wahuni, ni muhimu ili tuwe na kumbukumbu nzuri.
 
"Jaji tutaendelea nae japo hatumwamini, hatumkubali na tunajua amefanya maamuzi yasiyokuwa ya haki. Tunawaomba wananchi muendelee kuja kwa wingi kufuatilia kesi hii ili kuendelea kuwaona Mashahidi wa michongo, Mawakili wa michongo na Majaji wa michongo." Mhe.
@jjmnyika

Chanzo: CHADEMA Tanzania

Kuna Watu mnadhani mnatatua kumbe Kauli zenu ndiyo Chanzo Kikuu cha Kujimaliza wenyewe katika Kesi hii bila kujua.

Hivi Kiongozi mkubwa ndani ya Chama unapotamka hadharani kuwa huna Imani na Majaji waliopo katika Kesi yako Kisaikolojia hapo unawatia Moyo au ndiyo unawapa Hasira za Kukukomoa zaidi?

Akina KEROZENE tukiwashauri Mambo hapa mnatuchukia na kudhani Harakati zenu za Ushawishi wa humu Mitandaoni pekee ndiyo zitawatosheni. Sawa tutaendelea Kufurika ( Kujaa ) hapo Mahakamani kama ulivyotutaka ili Ndugu yetu atoke kwani kumbe Siku hizi Hukumu za Watuhumiwa katika Mahakama za Tanzania zinaamuliwa kwa Uwingi wa Watu waliojazana na kamwe siyo Vifungu vya Sheria na Ushahidi wa kutosha.
Sasa wewe unafikiri CDM wakinyamaza ndiyo wataonewa huruma ..... Hata kelele pia zinaweza kukukoa kama uko matatizoni.

Hujiulizi kwa nini mwizi akipigiwa kelele anasepa .....!!?
 
chama kinatakiwa kifanye kazi bila kujali mwenyekiti yupo au hayupo, kwenye tozo hatukusikia kauli yoyote ya chama hata mfumuko wa bei chadema wamekaa kimya ni kama hakipo
Wasemee jukwaa gani ilhali hata vikao vya ndani zinakuja defender kama zote na askari wenye silaha za kivita. Bunge ndiyo mumeamua kujaza mazuzu tupu,yanajua kugonga meza na kuzomea zomea tu. Chadema iko bize kufanya kazi zake kimya kimya tukiwaachia wenyewe mfanye mnavyotaka. Ndiyo muone hasara ya kuwa na Bunge la kijani tupu lililosheheni vilaza kama kina Babu Tale. Yule dhalim si alikuwa anawajaza ujinga kuwa wapinzani wametuchelewesha sana.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom