Kwahiyo wale Washambuliaji Tulioaminishwa ndio Warithi wa Mayele bado Muunganiko unakataa?

huyu dogo matege ni beki kisiki balaa. ila yanga hawana mfungaji, ningekuwa kwenye timu ya usajili, ningemfuta kabisa musonda na mzize. wazito utafikiri miguu yao imebeba magunia. huwa sielewi kwanini yanga wanampanga clement mzize au kwasababu mrefu? ufefu kama hauna akili ni sawa na alivyokuwa mwaikunda enzi zile. bure kabisa.
 
Mpigieni Simu Mayele mwambieni jamaa wamechukua ngao
 
Dah Utopolo wanapingana wenyewe kwa wenyewe na ligi hawajaanza.
 
Punguza makasiriko mkuu
 
Mkuu hata Kono kono??

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…