Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huyu dogo matege ni beki kisiki balaa. ila yanga hawana mfungaji, ningekuwa kwenye timu ya usajili, ningemfuta kabisa musonda na mzize. wazito utafikiri miguu yao imebeba magunia. huwa sielewi kwanini yanga wanampanga clement mzize au kwasababu mrefu? ufefu kama hauna akili ni sawa na alivyokuwa mwaikunda enzi zile. bure kabisa.Baada ya mshambuliaji Mayele kuuzwa kwa lazima tukatangaziwa kwa mikogo mingi na huyo kijana anayeitwa Kamwe , kwamba timu hiyo italeta striker wa hatari !
Lakini Ukweli ni kwamba Waliosajiliwa ni magarasa tu , hamna kitu na ndio maana wanachomeshwa mahindi
View attachment 2723005