Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Rangi nyeupe huonyesha amani na upendoKatika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba...
Weel mvaa Sanda .....Umeona kono la nyani kwenye ile jezi ya njanoKatika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba...
Utopwinyo mmesha sahau kuwa mliikataa nembo ya mdhamin kisa ni ya rangi nyekunduKazia hapo hapo kwenye utamaduni bila kujua mnajifungia wigo wa ubunifu..Simba ikiendelea ivo mtakosa ladha ya jezi mpya maana rangi zitakua zile zile tofaut vistari na kola tu..badilikeni,ndo maana ua ubunifu ni kufanya kitu tofaut na mazoea
Utopwinyo mmesha sahau kuwa mliikataa nembo ya mdhamin kisa rangi nyekunduNi nyie ndio mnaogopa rangi si mbona tunavaa fresh kabisa tena Uzi umetulia sana zote 3
Cha msingi ni trh 8 tukuvingirishe kwenye jezi Yako tumkabidhi Mangungu ye atajua pa kukupeleka
Viringisha kwenye SANDA yaoπ€£π€£π€£Ni nyie ndio mnaogopa rangi si mbona tunavaa fresh kabisa tena Uzi umetulia sana zote 3
Cha msingi ni trh 8 tukuvingirishe kwenye jezi Yako tumkabidhi Mangungu ye atajua pa kukupeleka
Tunamsikiliza zaidi Mganga wetu wa Kienyeji kutokana na Nyota ya Timu na pia kwa Msimu ujao? Isikuhangaishe Mkuu.Katika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.
Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.
Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.
Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.
Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.
Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Kabisa mkuuKazia hapo hapo kwenye utamaduni bila kujua mnajifungia wigo wa ubunifu..Simba ikiendelea ivo mtakosa ladha ya jezi mpya maana rangi zitakua zile zile tofaut vistari na kola tu..badilikeni,ndo maana ua ubunifu ni kufanya kitu tofaut na mazoea
Hiyo para ya mwisho mkuu ungesema tuwavingirishe kwenye Sanda yao!Ni nyie ndio mnaogopa rangi si mbona tunavaa fresh kabisa tena Uzi umetulia sana zote 3
Cha msingi ni trh 8 tukuvingirishe kwenye jezi Yako tumkabidhi Mangungu ye atajua pa kukupeleka
Tumeliona... Linatukumbusha 07/05/2012 na mwaka 1976.Weel mvaa Sanda .....Umeona kono la nyani kwenye ile jezi ya njano
Ma CCM yataendelea kuitafuna hii nchi mpaka yesu atakapo rudi..vijana muda wote wanajadili Upumbavu wa simba na yanga.. Mambo ya msingi katika Taifa hawana muda nayo.Weel mvaa Sanda .....Umeona kono la nyani kwenye ile jezi ya njano
Zama zinabadirika kolofive kolosanda kolotundamanjeneza koloubayaubwabwa kolokupoteana kolotop threeUtopwinyo mmesha sahau kuwa mliikataa nembo ya mdhamin kisa rangi nyekundu
Tupia hizo nyuzi za YangaKatika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.
Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.
Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.
Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.
Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.
Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Kuna saa hadi unawahurumia Hawa watu kupunguza ukali wa maneno imagine bodi yenye wasomi kabisa wakakubali neno Sanda liwe kifuani tena mbele halafu jezi ni nyekundu na nyeupe π€π€π€au wamemaanisha wanakuja kuzika kweli hii team !!?Hiyo para ya mwisho mkuu ungesema tuwavingirishe kwenye Sanda yao!