Kwahiyo Yanga siku hizi mna jezi zenye rangi nyeupe, kweli GSM kiboko

Kwahiyo Yanga siku hizi mna jezi zenye rangi nyeupe, kweli GSM kiboko

Jezi zote tatu za yanga hazitii mguu kwa jezi za simba .
1722118033738.jpg
 
Jezi mbayaaaa...
Ubunifu zirooo
Wanataka kuchukua na rangi nyekundu siku si nyingi...
😃😃😃😃😃😃😃
 
Katika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.

Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.

Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.

Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.

Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.

Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
umeandika kinyonge sana hii inaonesha Sheria Ngowi bado shida sana kwenye upande wa jezi dhidi ya Makolo
 
Katika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.

Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.

Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.

Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.

Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.

Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Wewe vaa sands zako yanga inakuhusu nini.tukutane tarehe 8 acha kutapatapa pambana na simba yako
 
Katika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.

Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.

Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.

Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.

Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.

Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Dismas ten atabakia mbunifu Bora wa muda wote wa jezi za club na timu ya Taifa

Jezi ninaxoziona wananzengo wamevaa mitaani macho yanaona tofauti na picha za promotion na uzinduzi

🔹Nasubiri zifuliwe mara Moja ndio tuone shughuli ya Jeshi

🔹Rangi mbili ambazo zilitbulika kuwa ni haramu na ambazo mwenye timu alilazimishwa kubadili rangi ya kampuni yake Sasa naona Moja imeingia rasmi kwenye jezi imebaki rangi Moja tayari rangi wa mdhamini ambaye Sasa jina la kampuni yake inaimbwa na chawa kuliko jina la timu itaingia rasmi.

🔹Nchi za Ulaya hata afrika Magharibi Kuna kit special kwa mashabiki na wakivaa uwanja mzima unakuwa na rangi Moja lakini bongo ni tetracycline haieleweki

🔹 Kwa mnasali naanza kuona Mzee wa KURJUANI ana hoja kuhusu timu yake. Ukipumbwazwa na MAFANIKIO ya Sasa na haraka haraka na kusahau mambo ya msingi tutakuwa kama wale waliotoa fedha zao Benki na kuzipeleka DECI
 
Ni nyie ndio mnaogopa rangi si mbona tunavaa fresh kabisa tena Uzi umetulia sana zote 3
Cha msingi ni trh 8 tukuvingirishe kwenye jezi Yako tumkabidhi Mangungu ye atajua pa kukupeleka
Uzi wetu, ila wanateseka makolo 😂😂😂😂
 
Kazia hapo hapo kwenye utamaduni bila kujua mnajifungia wigo wa ubunifu..Simba ikiendelea ivo mtakosa ladha ya jezi mpya maana rangi zitakua zile zile tofaut vistari na kola tu..badilikeni,ndo maana ua ubunifu ni kufanya kitu tofaut na mazoea
Simba haijawahi kugomea rangi hata siku moja. Yanga imeshawakatalia Vodacom, NBC na GSM kutumia rangi nyeupe na nyekundu
 
Wavaa vitenge vya waxi na batiki....nimekumbuka enzi zangu nachonya mijinzi ya wana.
 
Katika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.

Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.

Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.

Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.

Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.

Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Kumbuka nembo ya Yanga ina rangi 4 ambazo ni :-
1. Njano
2. Kijani
3. Nyeusi na
4. Nyeupe
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom