Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeandika kinyonge sana hii inaonesha Sheria Ngowi bado shida sana kwenye upande wa jezi dhidi ya MakoloKatika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.
Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.
Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.
Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.
Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.
Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Wewe vaa sands zako yanga inakuhusu nini.tukutane tarehe 8 acha kutapatapa pambana na simba yakoKatika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.
Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.
Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.
Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.
Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.
Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Dismas ten atabakia mbunifu Bora wa muda wote wa jezi za club na timu ya TaifaKatika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.
Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.
Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.
Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.
Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.
Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Uzi wetu, ila wanateseka makolo 😂😂😂😂Ni nyie ndio mnaogopa rangi si mbona tunavaa fresh kabisa tena Uzi umetulia sana zote 3
Cha msingi ni trh 8 tukuvingirishe kwenye jezi Yako tumkabidhi Mangungu ye atajua pa kukupeleka
Simba haijawahi kugomea rangi hata siku moja. Yanga imeshawakatalia Vodacom, NBC na GSM kutumia rangi nyeupe na nyekunduKazia hapo hapo kwenye utamaduni bila kujua mnajifungia wigo wa ubunifu..Simba ikiendelea ivo mtakosa ladha ya jezi mpya maana rangi zitakua zile zile tofaut vistari na kola tu..badilikeni,ndo maana ua ubunifu ni kufanya kitu tofaut na mazoea
Wanaweweseka mno msimu huu Hawa watapoteana mapema sanaUzi wetu, ila wanateseka makolo 😂😂😂😂
Kumbuka nembo ya Yanga ina rangi 4 ambazo ni :-Katika jezi za batiki za utopolo zile nyeusi kuna rangi nyeupeeee, nyeupe ni rangi ya simba.
Yanga haijawahi na haina utamaduni wa kuwa na rangi nyekundu wala nyeupe ila hizi batiki za msimu huu hasa zile nyeusi zina rangi nyeupe yenye maandishi ya mcheza kamari.
Ss hv GSM kila anachokifanya pale yanga hata kama sio utamaduni wa Yanga ali mradi yanga wanasajili wachezaji wakubwa potelea mbali.
Wamechukua watu wa simba mashabiki wamekubali, ss hv wanavalishwa jezi zenye rangi nyeupe.
Yaan simba avae jezi zenye rangi nyeusi au njano, never on earth.
Mwenye akili ni Magoma Shaaban tu
Sio kweli Cc ephen_Jezi zote tatu za yanga hazitii mguu kwa jezi za simba .
View attachment 3054601