Kwaito Songs za Kwenye Maharusi

Kwaito Songs za Kwenye Maharusi

TANMO

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
11,763
Reaction score
11,873
Wajameni naombeni mnisaidie kwa kunitajia majina ya zile nyimbo maarufu za Kwaito zinazopendwa sana kwenye harusi nyingi za kibongo, nataka kuzitafuta nizi-download... Manake............................

Wenu katika ujenzi wa Taifa.
TANMO
 
kuna lile kwaito la Paparazi la Xibit, kali kishenzi. Pia lipo lila flavor on Ear la Craig Mack ni soo

Arifu hizi song mbona siyo Kwaito?
 
Wajameni naombeni mnisaidie kwa kunitajia majina ya zile nyimbo maarufu za Kwaito zinazopendwa sana kwenye harusi nyingi za kibongo, nataka kuzitafuta nizi-download... Manake............................


Wenu katika ujenzi wa Taifa.
TANMO

Anza na kitu cha zimboko
 
samahani nami kwa kudandia thread.
naomba nisaidiwe jina la wimbo wa pasaka ambao jina la kiswazi tunauita halleluya kuu,wimbo huu umeimbwa kitaalamu sana,na sauti zake zinabadilishwa vizuri sana. pia nitajiwe mtunzi au mwimbaji/kwaya.
 
Wåbongo wengi hawazijui kwaito,hizo zinazo pigwa kwenye maharusi ni Afro Pop, za akina Malaika, Mafikizholo n.k.. KWAITO nize za aki MDU,ARTHUR nk nakunanyingine ambazo zina Pigwa na akina Dj Cleo,Big Naz nk,hizo ni mtindo mpya waitwa Housing.
 
hapo dhihamba nawe ndo kila kitu.....haya twende kulia......kushoto ......mbele ....ruka .....makofi kushoto ....kulia ...twendeeeeee.....hapa full kipupwe......
 
Back
Top Bottom