Kwako Babu Mpendwa 💕

Kwako Babu Mpendwa 💕

Acha kabisa rafiki yangu, nimekuwa mpoleeeee....

Hata spidi ya kuja humu imepungua, na leo niko hapa kwa sababu maalum.
Na mimi nimeona umekuja just kwa sababu maalum
 
Hongereni Bibi na Babu

Eeeeh long time Erick...!! Mambo!! Hadi nimeshangaa ujio wako hapa. 😊

Nani amekuficha hivyo, na huyo aliyekuibua toka mafichoni ashukuriwe.

Karibu tena jukwaani.

Asante kwa salamu tunazipokea wote kwa pamoja mimi na Babu.
 
It’s true, but why did you say that ...!???
You're seemed happy and enjoying the endless love from the love of your life also celebrating your elderly years together till death however I am not even closer to that.

Life it doesn't give me favours. 😔
 
You're seemed happy and enjoying the endless love from the love of your life also celebrating your elderly years together till death however I am not even closer to that.

Life it doesn't give me favours. 😔

Yeah, kiukweli namshukuru Mungu kunipa kibali cha kuwa na furaha kila leo.

Na anaendelea kunibariki kwa kunipa Mahaba ya babu wangu mpenz....

And, it’s not about favors, if it’s happiness it should start with you....
Be happy with yourself, then you can easily migrate and share the happiness with your closed ones....

Start to look at yourself, the way you speak, the way you set time for yourself, what time do you use care for yourself, like taking bath, eating well, sleeping, do your hobbies or what you like... all these to set self happiness then you can migrate the happiness and love to others.

Happiness and love goes together...
 
Ongera bibi naona penzi limekuwa jipya mimi nipo bweri musoma hapa siku moja ntapita kunywa maziwa hapo
 
Aahahahahhaaaaa watuuu nimechekaaaaa.....

Huku utakuja kwa mualiko wa Babu, maana yeye ndo mwenye himaya.

Ukipata mualiko usisahau kuja na Msafiri na akuje na ile Nissan nyeupe yake ...😆😆😆😆😆

Happy Thursday sugar sukari ya warembo wa JF 😉.

Nissan nyeupe lazima ihusike kukata mbuga kusogea "Sasa unaingia Mara"...😁😁

Heri nawe Kasinde, jirani mtarajiwa wa Mama Maria Nyerere ☺️☺️
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi 💕.

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

😊 huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. 😉

Ama kweli Kasie e ule usemi wa kwetu kuwa Mapenzi hayazeeki ni kweli.
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi 💕.

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

😊 huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. 😉

Wakubwa wanafaidi sana

Nami nimeshakuwa mkubwa...

Ndio maana kina Joanah Wananiita "dia babu"

Je yawezekana huyu babu wa Kasie ndio mimi Babu ODM?

Naelekea Butihama

Cc Mpwa Watu8 .... tuombeane dua nifike salama
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi 💕.

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

😊 huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. 😉

Sawa Fumo Lyongo tunashukuru kwa utenzi mzuri. Msalimie jirani yako Ngugi Wa Thiong'o
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi [emoji177].

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

[emoji4] huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. [emoji6]
Nyie wazee wetu wanapoteza penheni zao mapema alafu kutwa kupiga simu kwa vijana wao mjini kudai mipango haiendi..
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi [emoji177].

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

[emoji4] huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. [emoji6]
Duh.!
Mie sijaelewa chochote hapa..
Labda uzi unahusu watu wa Dar tu
 
Back
Top Bottom