Kwako Babu Mpendwa πŸ’•



Raaahaaaa, raha tupu kupendana na wewe raha tupuuu ...πŸ₯°πŸ₯°.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa babu ODM nenda Butiama ukale pensheni yako kwa bibie Kasie ila hakikisha unaichakata K-Vant mpaka Konyagi ione wivu.
Usisahau kumpa na ile style mpya ya Royal Tour.


Khaaa jamaniiii...!!

Mbona kama nimesoma sauti ya wivu kwenye haya maandishi....!!!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜œ
 
Au babu ni mimi ni vile sijijui tuπŸ™‚πŸ™‚
 
Bibi utafika mbinguni sehemu zako za Siri zikiwa zimechoka sana

Bora mie ntafika nazo japo zimechoka....

Wako ambao hawasemi wafanyayo, wanajificha nyuma ya keyboard kuwa za kwao bado mbichi safi zimetumika kidogoo ..... eeheheheheheheee

Uzuri kule mbinguni hakuna kuvaa nguo kwahiyo kila mtu ataona ya mwenzie...

Sasa hao wanaojificha nyima ya keyboard kubwa wako safi, pale kwenye eneo la siri patakuwa wazi yaani zitakuwa zimetumika hadi zimeisha zoteee zimelika kabisa.... hata kufanyia chupa chakavu hazitafaa.....

Nyundo ngoooo, msumari ngooo... πŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈπŸšΆπŸ½β€β™€οΈ.
 
Wewe bibi tuseme ulikuwa singo maza miaka yote ama mjane? Kwa nini babu aingie maishani mwako baada ya kustaafu?


Mambo ya ngoswe muachie ngoswe mwenyewe...

Ngoswe ni mapenzi .....
 
Una miaka 72...!???

Una shamba Butiama ambako ndo umeweka makazi ya kudumu na Kasie..???
Oooops! Miaka 71πŸ™πŸ™ Ila shamba lipo hekari za kutosha πŸ˜‡πŸ₯°πŸ˜˜ kumalizia uzee wetu
 
Oooops! Miaka 71πŸ™πŸ™ Ila shamba lipo hekari za kutosha πŸ˜‡πŸ₯°πŸ˜˜ kumalizia uzee wetu

Aahahahahahahaa babu akipita hapa atacheka kwa hasira vile watu wanajidhani ndo yeye....😜😜

Babu wangu na mie (ODM) nampenda sanaaaa, twajua vile twapeana raha....
 
Unamzungumzia Asprin ?

Amsalimie sana huyo jamaa
 

🀣🀣🀣 we mzee mtamuoa kwa pamoja??
 

Hii inaonesha wazi babu ni muafrika asilia....

Ana boma lake na ndani ya boma ana nyimba kadhaa.

Kika bibi anajua majukumu yake, bibi wadogo wote wanamsikiliza bibi mkuu Sky 😜.

Aahahahahaa this is more than a joke and mind refresh but to some extent its some people's reality in their real life. Na maisha yanaenda vizuri tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…