My dia mjukuu. Tulikaa meza moja na bibi yako Sky Eclat tukakubaliana tumtafute msaidizi. Maana bibi yako si unajua tena kashachoka anataka msaidizi.
Sasa kama Kasie kaamua kuingia kwenye familia yetu kwa hiari yake. Basi mimi na bibi yako Sky Eclat tutamuoa kwa pamoja....
Itakuwa Sriisamu ya uzeeni kabla hatujadedi
Wewe ombea tu huyo babu wa Butiama niwe mimi yua dia babu. Utakuwa na mabibi wawili... Bonus hiyo kwako kama umenielewa vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa babu ODM nenda Butiama ukale pensheni yako kwa bibie Kasie ila hakikisha unaichakata K-Vant mpaka Konyagi ione wivu.
Usisahau kumpa na ile style mpya ya Royal Tour.
Bibi utafika mbinguni sehemu zako za Siri zikiwa zimechoka sana
Oooops! Miaka 71ππ Ila shamba lipo hekari za kutosha ππ₯°π kumalizia uzee wetuUna miaka 72...!???
Una shamba Butiama ambako ndo umeweka makazi ya kudumu na Kasie..???
Oooops! Miaka 71ππ Ila shamba lipo hekari za kutosha ππ₯°π kumalizia uzee wetu
Unamzungumzia Asprin ?Aahahahaha usipotee sana, the old wing is missed humu JF....
Sasa hivi kila unakopita unakutana na kina Junior na vile wengine tumechomwa adrenaline ya JF MMU basi tunajikaza hivohivo...ππ.
Umemtaja Bishanga nae amepoteaaa...!!
Babu huyu ni wa Butiama aka ODM π₯°.
Sawa bibiSalamu zimemfikia....π
My dia mjukuu. Tulikaa meza moja na bibi yako Sky Eclat tukakubaliana tumtafute msaidizi. Maana bibi yako si unajua tena kashachoka anataka msaidizi.
Sasa kama Kasie kaamua kuingia kwenye familia yetu kwa hiari yake. Basi mimi na bibi yako Sky Eclat tutamuoa kwa pamoja....
Itakuwa Sriisamu ya uzeeni kabla hatujadedi
Wewe ombea tu huyo babu wa Butiama niwe mimi yua dia babu. Utakuwa na mabibi wawili... Bonus hiyo kwako kama umenielewa vizuri
Babu Asprin ni kama mvinyo, kila anavyozidi kuzeeka ndio anazidi kupendwa.Ongeza na BADILI TABIA
Ongeza na BADILI TABIA