Hii inaonesha wazi babu ni muafrika asilia....
Ana boma lake na ndani ya boma ana nyimba kadhaa.
Kika bibi anajua majukumu yake, bibi wadogo wote wanamsikiliza bibi mkuu Sky π.
Aahahahahaa this is more than a joke and mind refresh but to some extent its some people's reality in their real life. Na maisha yanaenda vizuri tuu...
Huyu BADILI TABIA alinikimbia. Sijui bwege gani aliniibia. Nikimkamata ndio atajua kwanini maharage ni kiungo cha makande...Ongeza na BADILI TABIA
Dah....Babu atakuwa anadumisha hishma ya ndoa π€£π€£π€£π€£βNaaam.....π.
Kwa afya zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu sina lol.Huyu BADILI TABIA alinikimbia. Sijui bwege gani aliniibia. Nikimkamata ndio atajua kwanini maharage ni kiungo cha makande...
Kuna cacico na Yummy pia. Babu ni sukari ya warembo
Umefurahi nini? Hebu njoo PM haraka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu sina lol.
Huyu BADILI TABIA alinikimbia. Sijui bwege gani aliniibia. Nikimkamata ndio atajua kwanini maharage ni kiungo cha makande...
Kuna cacico na Yummy pia. Babu ni sukari ya warembo