Kwako Barbara - CEO Simba Sports Club

Kwako Barbara - CEO Simba Sports Club

chapashuka

Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
10
Reaction score
24
Niwaombe wana Jamii Forum wasaidie kufikisha ujumbe huu kwa kiongozi yoyote wa SSC kama wapo humu.

Madam Barbara : Tatizo la Simba ni moja tu fanyia kazi hili haraka sana,

1: Mpaka muda huu Simba imezidiwa propaganda kwenye Social Media, Redio na TV stations
Simba sasa hivi imekuwa inapewa Sifa na Maneno ya hovyo na watu wenye access za kukaa kwenye Media na kusikilizwa hili ni tatizo anatakiwa awepo mtu mwenye kaliba hiyo ambaye leo likisemwa hili kesho mapema anaenda kulikanusha vikali hii itasaidia kuondoa ile sintofaham na kulinda Brand ya Simba ,

Kupitia hizo Platform timu ya Simba imeaminishwa ni mbovu na aiwezi tena kucheza Mpira hili tatizo limefika tayari kwa wachezaji mda mrefu wachezaji wamepoteza confirdence, concentration imepungua yaani wanacheza huku wakifikiria nini kitaongelewa baada ya mechi kutoka kwa hao wasemaji wa Mpira kwenye vyombo vyao,

Kwa sasa limefika kwa Mashabiki hii ni Mbaya Zaidi,Mashabiki hawaamini tena wafungaji wao akianza John baada ya Mda wanamtaka Meddie akianza Meddie the same wanamtaka John hawa watachezaje mpira kwa Presha hii

Najua tunayo App, Instagram na Twitter ila hii ni vita tusitegemee silaha tulizonazo tuanatakiwa twende mbali Zaidi kuwafikia wapenzi wa Simba hasa wale wa kusikia

Ombi langu atafutwe haraka mtu wa kusimamia Brand ya Simba najua naeleweka nikisema Brand sio mtu wa kuongea tu akiona Camera hayo waachiwe mashabiki nje ya uwanja

Binafsi nna uhakika kabisa Ezekiel ameachaa Report yake hapo Mezani kwako ya kile kinatakiwa kifanyike pitia tena hiyo report kaa na wasahuri wako fanyieni kazi,



<SIMBA NGUVU MOJA>
 
Hakuna lolote tumefel kwa makusudi tu acha yatupate aya uzipojenga ufa utajenga ukuta ,watu wanapga kelele muda mrefu kuhusu matatzo ya simba viongozi kama hawasikii pamoja na kufanya vzur karbu misimu minne lkn simba ukiangalia ilikua na shida karbu kila sehemu.

Mwaka huu tena yakaongezeka mengine kuondoka kwa chama na luis jumlsha matatzo ya uko nyuma unategemea ufanye vzur ata kama utasifiwa na vyombo vyote vya habari ,kwa usajili wa simba pamoja na wapinzan kujizatiti nilijua tu viongoz wa simba wataona dilisha dogo lipo mbali mpra wa mazoea ndio kinachoiangusha Manchester United na ndio iko iko kinaenda simba
 
Mwijaku........ mpira wa bongo una comedy nyingi.

Tatizo la Simba lilianzia Pale walipouzwa Chama na Konde wakati Simba hawa kuandaa mfumo wa kucheza bila Chama na Konde.

Pili kwenye usajili naona hamu kufikiria kusajili wachezaji ambao uwezo wao unakaribiana au upo sawa na walio uzwa.

Kosa jingine kumtimua Gomes kwani hata atakaye kuja atahitaji mda wa kuijenga timu,bora mngemwacha na kumpa time frame ya mechi kama tano, then kama hasinge deliver ndipo mngemtimua.
 
2982907_IMG-20211031-WA0016.jpg


Simba wala hatuna wasiwasi.

UJINGA UNALETWA NA VIJANA WA KU-BET nikeka ikichanika wanaanza kutukana
 
Kwan mwaka jana mlianzaje? Acheni mbwembwe[emoji41]
Mwaka Jana kikosi chetu kilikua kama chenu mwaka huu... Magoli ya wazi mtu anapishana na mpira. Simba wa kudroo na costal kweli? Yaani Simba iko full. coastal wako 10 bado kuna sare hapo? Haya zikaongezwa dk 6. Ila refa akazifanya ziwe 10 nje ya PGO na bado mkakosa goli zaidi zaidi mkajiletea red card.

Kama kweli wewe unaona Simba ya mwaka huu ni kama ya mwaka Jana jipigepige kifuani... Sema "Hakika Mimi ni kolo indeed."
 
Niwaombe wana Jamii Forum wasaidie kufikisha ujumbe huu kwa kiongozi yoyote wa SSC kama wapo humu.

Madam Barbara : Tatizo la Simba ni moja tu fanyia kazi hili haraka sana,

1: Mpaka muda huu Simba imezidiwa propaganda kwenye Social Media, Redio na TV stations
Simba sasa hivi imekuwa inapewa Sifa na Maneno ya hovyo na watu wenye access za kukaa kwenye Media na kusikilizwa hili ni tatizo anatakiwa awepo mtu mwenye kaliba hiyo ambaye leo likisemwa hili kesho mapema anaenda kulikanusha vikali hii itasaidia kuondoa ile sintofaham na kulinda Brand ya Simba ,

Kupitia hizo Platform timu ya Simba imeaminishwa ni mbovu na aiwezi tena kucheza Mpira hili tatizo limefika tayari kwa wachezaji mda mrefu wachezaji wamepoteza confirdence, concentration imepungua yaani wanacheza huku wakifikiria nini kitaongelewa baada ya mechi kutoka kwa hao wasemaji wa Mpira kwenye vyombo vyao,

Kwa sasa limefika kwa Mashabiki hii ni Mbaya Zaidi,Mashabiki hawaamini tena wafungaji wao akianza John baada ya Mda wanamtaka Meddie akianza Meddie the same wanamtaka John hawa watachezaje mpira kwa Presha hii

Najua tunayo App, Instagram na Twitter ila hii ni vita tusitegemee silaha tulizonazo tuanatakiwa twende mbali Zaidi kuwafikia wapenzi wa Simba hasa wale wa kusikia

Ombi langu atafutwe haraka mtu wa kusimamia Brand ya Simba najua naeleweka nikisema Brand sio mtu wa kuongea tu akiona Camera hayo waachiwe mashabiki nje ya uwanja

Binafsi nna uhakika kabisa Ezekiel ameachaa Report yake hapo Mezani kwako ya kile kinatakiwa kifanyike pitia tena hiyo report kaa na wasahuri wako fanyieni kazi,



Hawa unaowashauri wala hawakusilizi, mawazo yao yamehamia kwenye maandamano ya kutembea uchi.
 
Mwaka jana si tu kudroo tulipoteza mechi kama 3 mwanzoni mkacheka kama mnavyocheka saivi

tusubiri muda maana ni mwalimu mzuri sana
Cha msingi ni kuvumiliana maana wenyew mwak Jana tulikuwa wazee wa KAMOJA au DROO njemba huzi zinatucheka kinyama na vyevye Mungu amewapa midomo wanaongea Kama nini Sasa wakati sie tunarekebisha makosa kwa kufanya usajili wao wakajiona wameshafika kileleni wakauza wachezaji wakanunua mabus kwahiyo zam yao imefika wavumilie tu!
Cha msingi hakuna namna maana dunia duara na Mungu hawezi kuwa upande wa mashetni wekundu kila cku
 
Cha msingi ni kuvumiliana maana wenyew mwak Jana tulikuwa wazee wa KAMOJA au DROO njemba huzi zinatucheka kinyama na vyevye Mungu amewapa midomo wanaongea Kama nini Sasa wakati sie tunarekebisha makosa kwa kufanya usajili wao wakajiona wameshafika kileleni wakauza wachezaji wakanunua mabus kwahiyo zam yao imefika wavumilie tu!
Cha msingi hakuna namna maana dunia duara na Mungu hawezi kuwa upande wa mashetni wekundu kila cku
[emoji1787][emoji1787][emoji196][emoji196][emoji196] mtafukuzana nawaambia ngojeni muone
 
Niwaombe wana Jamii Forum wasaidie kufikisha ujumbe huu kwa kiongozi yoyote wa SSC kama wapo humu.

Madam Barbara : Tatizo la Simba ni moja tu fanyia kazi hili haraka sana,

1: Mpaka muda huu Simba imezidiwa propaganda kwenye Social Media, Redio na TV stations
Simba sasa hivi imekuwa inapewa Sifa na Maneno ya hovyo na watu wenye access za kukaa kwenye Media na kusikilizwa hili ni tatizo anatakiwa awepo mtu mwenye kaliba hiyo ambaye leo likisemwa hili kesho mapema anaenda kulikanusha vikali hii itasaidia kuondoa ile sintofaham na kulinda Brand ya Simba ,

Kupitia hizo Platform timu ya Simba imeaminishwa ni mbovu na aiwezi tena kucheza Mpira hili tatizo limefika tayari kwa wachezaji mda mrefu wachezaji wamepoteza confirdence, concentration imepungua yaani wanacheza huku wakifikiria nini kitaongelewa baada ya mechi kutoka kwa hao wasemaji wa Mpira kwenye vyombo vyao,

Kwa sasa limefika kwa Mashabiki hii ni Mbaya Zaidi,Mashabiki hawaamini tena wafungaji wao akianza John baada ya Mda wanamtaka Meddie akianza Meddie the same wanamtaka John hawa watachezaje mpira kwa Presha hii

Najua tunayo App, Instagram na Twitter ila hii ni vita tusitegemee silaha tulizonazo tuanatakiwa twende mbali Zaidi kuwafikia wapenzi wa Simba hasa wale wa kusikia

Ombi langu atafutwe haraka mtu wa kusimamia Brand ya Simba najua naeleweka nikisema Brand sio mtu wa kuongea tu akiona Camera hayo waachiwe mashabiki nje ya uwanja

Binafsi nna uhakika kabisa Ezekiel ameachaa Report yake hapo Mezani kwako ya kile kinatakiwa kifanyike pitia tena hiyo report kaa na wasahuri wako fanyieni kazi,



<SIMBA NGUVU MOJA>
Wachezaji wanaathiriwa na maneno ya mitandao?
 
Back
Top Bottom