Kwako Barbara - CEO Simba Sports Club

Kwako Barbara - CEO Simba Sports Club

Simba ilikuwa na shida zipi miaka minne nyuma na sasa zimeongezeka zipi ?
Simba shida yao ilikua nyuma beki za pemben kapombe ,zimbwe jr ilifka muda mmoja wapo apate msaidiz kumzd yeye ili wawe wanapumzka kuna mambo mawil au matatu kwanza kuchoka kuna suhala la umr kuna wapinzan kujua aina ya mpra wao pia ata viwango ,na pia wote wawil sio wazur ktk kuzuia sana sana mipira ya juu,shida nyngne ya simba ni namba sita ambayo kwa sasa anacheza lwanga au mzamiru ni viungo wakabaji ila kasi yao uwezo wao na kwa aina ya timu kama simba bado si viwango bora sana ,na mwsho eneo la kufunga kuna kagere boko na mugalu hawa wote ndio chanzo cha kutofka nusu fainal sio wamaliziaj wazur wanaitaj nafas zaid ya 5 ndio wafunge sasa kuna mechi unapata nafas 3 au 2 usipotumia umefungwa ww au umedroo ilitakiwa mmoja wapo ampishe mtu ambae akisimama namba 9 nafas 9 atafunga moja hiz sifa ambayo tunaambiwa kwa wafungaj wa simba ni za kulazimisha lkn sio sifa ya namba tisa pamoja na uwezo wa kumilik mpra kuwasumbua mabek na viungo lkn sifa kuu ya namba 9 ni kufunga kwa ligi yetu iliyoisha kat ya boko au mugalu mmoja wapo msim ulioisha walitakiwa wafunge magol zaid ya 20 walikua wanatengenezewa nafas nyng mno mechi unazoshinda uwez kuona tatzo la kukosa nafas ila kuna mechi ukizoea kukosakosa nafas ukipata watu wanaojua kukaba maeneo unaumia ww angalia ata mechi ya garaxy juz,au ile ya kaizer,kuondoka kwa chama na luis pia kumeongeza matatzo zaid uzur wa luis sio tu winga ambae anafunga na kuasist lkn pia anakupa vtu zaid kuliko winga hawa waliokuwepo atakusaidia kukaba atakusaidia kupokonya mipira atakusaidia kushambulia rejea mechi ya vital na simba kule congo,vile vile kwa chama ni namba 10 ambae alikua anafunga na kuasist lkn pia uwezo kupga pas za siri uyu bwalya yy ni kiungo mchezeshaji ila aina yake ya uchezaj ni kama vile anajichezesha mwenyewe kuliko wenzake na uwezo wa kupga pas za mwsho ni mdogo pasi nyng zinakua sio za siri na hazifik ,pasi za siri ni zle pas ambazo wapinzan wanakuja kustuka mpra upo kwa mtu kama karbu na gol linakua gol au hatar ,ndio maana ukiwa na chama au luis offside zilikua nyng kwa simba ata marefa walikua wanachanganyikiwa
 
Simba shida yao ilikua nyuma beki za pemben kapombe ,zimbwe jr ilifka muda mmoja wapo apate msaidiz kumzd yeye ili wawe wanapumzka kuna mambo mawil au matatu kwanza kuchoka kuna suhala la umr kuna wapinzan kujua aina ya mpra wao pia ata viwango ,na pia wote wawil sio wazur ktk kuzuia sana sana mipira ya juu,shida nyngne ya simba ni namba sita ambayo kwa sasa anacheza lwanga au mzamiru ni viungo wakabaji ila kasi yao uwezo wao na kwa aina ya timu kama simba bado si viwango bora sana ,na mwsho eneo la kufunga kuna kagere boko na mugalu hawa wote ndio chanzo cha kutofka nusu fainal sio wamaliziaj wazur wanaitaj nafas zaid ya 5 ndio wafunge sasa kuna mechi unapata nafas 3 au 2 usipotumia umefungwa ww au umedroo ilitakiwa mmoja wapo ampishe mtu ambae akisimama namba 9 nafas 9 atafunga moja hiz sifa ambayo tunaambiwa kwa wafungaj wa simba ni za kulazimisha lkn sio sifa ya namba tisa pamoja na uwezo wa kumilik mpra kuwasumbua mabek na viungo lkn sifa kuu ya namba 9 ni kufunga kwa ligi yetu iliyoisha kat ya boko au mugalu mmoja wapo msim ulioisha walitakiwa wafunge magol zaid ya 20 walikua wanatengenezewa nafas nyng mno mechi unazoshinda uwez kuona tatzo la kukosa nafas ila kuna mechi ukizoea kukosakosa nafas ukipata watu wanaojua kukaba maeneo unaumia ww angalia ata mechi ya garaxy juz,au ile ya kaizer,kuondoka kwa chama na luis pia kumeongeza matatzo zaid uzur wa luis sio tu winga ambae anafunga na kuasist lkn pia anakupa vtu zaid kuliko winga hawa waliokuwepo atakusaidia kukaba atakusaidia kupokonya mipira atakusaidia kushambulia rejea mechi ya vital na simba kule congo,vile vile kwa chama ni namba 10 ambae alikua anafunga na kuasist lkn pia uwezo kupga pas za siri uyu bwalya yy ni kiungo mchezeshaji ila aina yake ya uchezaj ni kama vile anajichezesha mwenyewe kuliko wenzake na uwezo wa kupga pas za mwsho ni mdogo pasi nyng zinakua sio za siri na hazifik ,pasi za siri ni zle pas ambazo wapinzan wanakuja kustuka mpra upo kwa mtu kama karbu na gol linakua gol au hatar ,ndio maana ukiwa na chama au luis offside zilikua nyng kwa simba ata marefa walikua wanachanganyikiwa
Unaweza kuandika kwa Paragraph ili niweze kukusoma vizuri na kukuelewa.

NAshindwa kusoma andiko lako kwa sababu za kiuandishi mskuu, samahani kama hautajali rekebisha nikujibu.
 
Wachezaji wanaathiriwa na maneno ya mitandao?
Basi wazime data!
kama hujui hujui bob Ila kawaida Kama unajua kitu alaf wath wanakusema unawaonyesha kuwa unajua ili kuwafunga midomo na kujitengenezea heshima
 
Back
Top Bottom