Kwako Chino Wanamani; nani anakupotosha na hayo magari?

Kwako Chino Wanamani; nani anakupotosha na hayo magari?

Jamaa amemind Sana utadhani ataombwa hela ya ku- maintain gari yenyewe😂
 
Acheni uchawi jamani. Kwani kaiba cha mtu? Na wewe Tafuta zako ujenge nyumba na kuanzisha biashara. Kwenye haya maisha kila mtu ana bahasha yake.
Bongo wachawi wengi maamaaeh..halaf zaid wachawi wengi ni vijana hawa na si wazee kama alivyoimba vavayo.
 
Huyu chino akanunua v8 jeupe
Huyu chino akanunua jeep na BMW.
Alafu kuna kijana serious akaja hapa anaandika kwanini kanunua gari hili,

Akiweka gari hata moja plate number niambie i tuangalie database, kama yake mimi naomba nitukanwe matusi yote na natoka naafuta hii ID jf.
 
Huyu chino akanunua v8 jeupe
Huyu chino akanunua jeep na BMW.
Alafu kuna kijana serious akaja hapa anaandika kwanini kanunua gari hili,

Akiweka gari hata moja plate number niambie i tuangalie database, kama yake mimi naomba nitukanwe matusi yote na natoka naafuta hii ID jf.
Unataka kusema ile ni kik

Ova
 
Back
Top Bottom