Habari ya muda huu mwenyekiti wetu mpendwa Leo kwa Mara ya kwanza tumeshuhudia team yetu ya Yanga imefungwa na team kutoka mkoani
Baada ya miaka 7 kupita
Huu si mwanzo mzuri kwako mwenyekiti nakupa habari kama hujalichukulia kwa
Uzito suala la mgogoro la task force hali itakua mbaya saana kwenye team
Hawa jamaa ni wapambanaj yani wafia team wanajitolea Leo wamekuja wajuaji na wasaliti wa Yanga walio ikimbia team ndio
Wanaishugurikia team, hawa jamaa wako ki maslah wengine walikua singida united Leo baada ya kuona hakuna maslah wamerudi Yanga
Watu kama Caro's,ney,twalibu,na kundi lao wapo ki maslah zaid Mwenyekit nakusihi
Ili jumba bovu lisikuangukia tafuta hawa
Watu task force kaa nao
Tunabahat tu ya kupisha team ya taifa ila tungepotea vibaya sana nakuomba kaaa na hawa watu vinginevyo mwenyekiti unawajua mashabik wa Yanga hatuna uvumilivi nawasilisha.
task force ndiyo kitu gani?? Kama wanaipigania Yanga wachangishane wenyewe....Hawa siyo ndiyo wale msimu uliopita waliokuwa wakifanya vurugu uwanjani mmara waipitishe timu mlango gani sijui na klabu kupigwa faini???