Kwako Dr Mshindo Msola


task force ndiyo kitu gani?? Kama wanaipigania Yanga wachangishane wenyewe....Hawa siyo ndiyo wale msimu uliopita waliokuwa wakifanya vurugu uwanjani mmara waipitishe timu mlango gani sijui na klabu kupigwa faini???
 
task force ndiyo kitu gani?? Kama wanaipigania Yanga wachangishane wenyewe....Hawa siyo ndiyo wale msimu uliopita waliokuwa wakifanya vurugu uwanjani mmara waipitishe timu mlango gani sijui na klabu kupigwa faini???
Jamaa wapambanaji sana hawa wanajitolea
 
Na wewe ni task force ulie nyimwa ulaji shubamit zako
 
mtoto akizaliwa anaanza kwanza kutambaa, baadae ndio anatembea, sasa simba mlitaka kukimbia wakati hata kutambaa bado, matokeo yake mmeangukia pua, yanga tutaanza kwanza kuchukua shirikisho mwaka huu, mwakani ndio tunaenda kubeba klabu bingwa afrika
Labda shirikisho la chama cha Tumbaku sikange Tabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…