Mr_Plan
Senior Member
- Oct 2, 2021
- 140
- 194
Popote ulipo nakupa pole Rais wetu kwa mapambano unayopitia katika kutetea chapa ya Yanga.
Kufeli kwetu katika mambo mbalimbali yaihusishayo klabu yetu tatizo kubwa ni hawa machawa wako wanaokuzunguka, mdomo mwingi, sifa kibao utendaji sifuri.
Hao wamekuwa wakiangalia matumbo yao tu na kufunika ukweli kwa uongo ili bora liende ilimradi mifuko yao imenona.
Kuwa nao makini hawajui fitna yoyote ya mpira zaidi ya propaganda tu.
Wanakufelisha Rais achana nao wekeza kwenye timu, wanashauri zitoke bahasha halafu wanakata asilimia zao juu kwa juu.
Langu ni hilo.
Kufeli kwetu katika mambo mbalimbali yaihusishayo klabu yetu tatizo kubwa ni hawa machawa wako wanaokuzunguka, mdomo mwingi, sifa kibao utendaji sifuri.
Hao wamekuwa wakiangalia matumbo yao tu na kufunika ukweli kwa uongo ili bora liende ilimradi mifuko yao imenona.
Kuwa nao makini hawajui fitna yoyote ya mpira zaidi ya propaganda tu.
Wanakufelisha Rais achana nao wekeza kwenye timu, wanashauri zitoke bahasha halafu wanakata asilimia zao juu kwa juu.
Langu ni hilo.