Mwakinyo wewe ni mtu imara sana nimeielewa kazi yako kweli una uchu wa mafanikio nguvu unayo ya kutosha
Wanaotaka kila siku mapambano wa wewe wakuwekee mapesa ya kutosha ndio upambane.
Nimesikia umesema unataka kumshuka mtu ukipambana naye pale Us yes pale ndio penyewe unaijenga brand yako vizuri kwa mapambano unayotupatia sisi watazamaji i am your number 1 fan.
Wanaotaka wapigane na wewe kwa hapa ndani kuna wanatutafuta maneno tu hata kwenye mpira ligi za nje zinazoshiriki timu zetu ndio zina faida kubwa hizi za ndani c unaona mwenyew kuaibishana na kushushana thamani tu ndio kilichopo nenda Marekani pale kwa Biden ukamnyooshe mtu wakulipe angalau dola milioni kadhaa najua unamtamani Mayweather pambana tu ipo siku watalitangaza hilo pambano
Mengine yatakuwa ni ziada tu .
Wanaotaka kila siku mapambano wa wewe wakuwekee mapesa ya kutosha ndio upambane.
Nimesikia umesema unataka kumshuka mtu ukipambana naye pale Us yes pale ndio penyewe unaijenga brand yako vizuri kwa mapambano unayotupatia sisi watazamaji i am your number 1 fan.
Wanaotaka wapigane na wewe kwa hapa ndani kuna wanatutafuta maneno tu hata kwenye mpira ligi za nje zinazoshiriki timu zetu ndio zina faida kubwa hizi za ndani c unaona mwenyew kuaibishana na kushushana thamani tu ndio kilichopo nenda Marekani pale kwa Biden ukamnyooshe mtu wakulipe angalau dola milioni kadhaa najua unamtamani Mayweather pambana tu ipo siku watalitangaza hilo pambano
Mengine yatakuwa ni ziada tu .