hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
relux dude...haya ndio maisha....kama wewe huwezi kuuza drugs wenzio wanauza...kama wewe huwezi kuongopa...wenzio wanaongopa"" kama wewe hauwezi kuuwa kuna watu wapo maaulum kwajili ya hiyo kazi"" so hayo ndio maisha...asiye hili analilehivi ni uwa mmeshatongozana huko nje au mnapatana humu humu ndani.?
mapenz ya humu ndani kiukweli yamenishinda.
Ila hongereni