Kwako Jolie Jolie wangu

hivi ni uwa mmeshatongozana huko nje au mnapatana humu humu ndani.?
mapenz ya humu ndani kiukweli yamenishinda.
Ila hongereni
relux dude...haya ndio maisha....kama wewe huwezi kuuza drugs wenzio wanauza...kama wewe huwezi kuongopa...wenzio wanaongopa"" kama wewe hauwezi kuuwa kuna watu wapo maaulum kwajili ya hiyo kazi"" so hayo ndio maisha...asiye hili analile
 
Hahahahaha kwa zile statements tu zileee.. Nikajua kabisa huyu mwenzangu kabisa huyu.. Waganga wengi wanakuaga na wake wengi sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Cc Smart911
Hahahhahaha waganga wake wengi kawaida wasaidiane kuchuma mizizi ya dawa,mme wangu sio mganga wake wanne aoe nisiwajue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…