relux dude...haya ndio maisha....kama wewe huwezi kuuza drugs wenzio wanauza...kama wewe huwezi kuongopa...wenzio wanaongopa"" kama wewe hauwezi kuuwa kuna watu wapo maaulum kwajili ya hiyo kazi"" so hayo ndio maisha...asiye hili analilehivi ni uwa mmeshatongozana huko nje au mnapatana humu humu ndani.?
mapenz ya humu ndani kiukweli yamenishinda.
Ila hongereni
mmh, jamaa fisi wewe [emoji23]mkuu niazime jolie wako nipigie misele narudisha jumanne baada ya pasaka
Waacha weee ....Mambo ni hiviii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].
Naona ndege kapaa mkuu!..Pole hamisha majeshi kwa shunie tu!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Polee bwana. Umesubiri embe liiive mwenzio kalila na chumvi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waacha weee ....
Kwa wa tz tulio wengi Mkopo kawaida sana lasivo mambo hayaendi rafikiiii sema asilimia 15 ndo imeuaaaaa otherwise mambo yalikua pouwaamahondaw aniache kwanza ..kichwa change kinawaza marejesho ....Nina mkopo na daiwa na bank ..unanikondesha mnooo aisee...hata nguvu ya kuitamani papuchi sina
Moyo unavibrate hapa mkuu nadhani kazi ya kusukuma damu inaenda vyema sana....Cc Mwifwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Popote ulipo
haha hahaa...abanane hapo hapo tu.....ukitaka cha pekee yako umba cha kwako ""Polee bwana. Umesubiri embe liiive mwenzio kalila na chumvi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nshapika naosha vyombo nilivyopikiaNamalizia kupia pilau nitarud View attachment 731151
hahahaa muda simrefu utazi200Moyo unavibrate hapa mkuu nadhani kazi ya kusukuma damu inaenda vyema sana....
Hahahhahaha waganga wake wengi kawaida wasaidiane kuchuma mizizi ya dawa,mme wangu sio mganga wake wanne aoe nisiwajueHahahahaha kwa zile statements tu zileee.. Nikajua kabisa huyu mwenzangu kabisa huyu.. Waganga wengi wanakuaga na wake wengi sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc Smart911
Patageuka mereraniPatachimbika bila suruhu jilan
mambo ya kupigiana chabo mwisho jukwaa la chit chat aisee