Kwako Jolie Jolie wangu

Kwako Jolie Jolie wangu

Muwe mnakula hizo naleta nyingine soon [emoji12] Wee smart wewe makubwa teinaaaaa!?? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Umenisahau mruka sambasoti?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaahaha sambasoti
 
Mkuu kama umewahi kuwinda ndege ukimkamata(kuna wapo ambao wanatabia ya kujificha chini kwenye nyasi) kabla unamtoa mabawa ili asije akaruke tena ghafla anakutoka mikononi na kupaa huku akikuachia baadhi ya manyoya, sasa utabaki na maumivu ya kupoteza nguvu nyingi bila tija...inauma sana mkuu
Pooooh haina tofaut na hiii
IMG-20180319-WA0004.jpg
 
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Vile unajua mpaka nyimbo ninazozipenda
Asante sana mme wangu,nakupenda sana,sana tena sana na unajua
Senkyy sana hubby wangu kwa haka ka favourite song
Wait.. What!!?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

How did i miss this! [emoji26] [emoji79]
 
Back
Top Bottom