Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Mwifwa anausisitiza moyo wake utulie mjini kuna vya watuEwaaaahhh Mwifwa kama nakuona vile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwifwa anausisitiza moyo wake utulie mjini kuna vya watuEwaaaahhh Mwifwa kama nakuona vile?
Hahaha sijaelewa badoNgoja nikusaidie kupoza machungu
Hahaha iiiiiiishh kumbe unapafahamu,najua bata za Tabora mjini pia hukuziachaSkonge Tabora aiseee usinikumbushe nilikuwa napenda bataaa mitaa ya stand na vile vigrosar
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Ngoja nikusaidie kupoza machungu
Domo zege huyo achana nayeee ateseke mpaka basiMwifwa anausisitiza moyo wake utulie mjini kuna vya watu
hahahaaaaaOmbi lako limekataliwa mkuu
[emoji23] [emoji23] rafiki kipenzi kapatwa na nini tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kupatwa kwa rafiki kipenzi
Jilan mbona hatujaambiana.....!!![emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Vile unajua mpaka nyimbo ninazozipenda
Asante sana mme wangu,nakupenda sana,sana tena sana na unajua
Senkyy sana hubby wangu kwa haka ka favourite song
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu niazime jolie wako nipigie misele narudisha jumanne baada ya pasaka
Kwanini lakini?Ngoja nikusaidie kupoza machungu
Katoto kadhuriNanii?
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] anitume mimi kwa anaempenda nikamsemeeDomo zege huyo achana nayeee ateseke mpaka basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ombi lako limekataliwa mkuu
MmmmmmhhhhHahahaha vingine havina wenyewe
Kwani jirani kipi usichoelewa?Jilan mbona hatujaambiana.....!!!
Huwez kuelewa wewe chukua kifaa hichi ulinde goma lakoHahaha sijaelewa bado
Hahahaha umeona ee,nashukuru kwa kua umejua kuunganisha dots.Uyu Hazard sasa naanza kutomuelewa[emoji23] [emoji23]Khakha nimekumbuka koments zako kama mbili hivi hukoo kwenye nyuzi za watu tehteh [emoji87] [emoji87]
Cc Smart911
Tabora nzega kahama shinyanga mpaka karagwe nyakahanga ni balaaaaaHahaha iiiiiiishh kumbe unapafahamu,najua bata za Tabora mjini pia hukuziacha