Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kiukweli nimekaa nikawaza sana kuhusu huyu mwanaume Jordan Henderson.
Najua kuna watu hawampendi, wanaona kiwango chake kidogo, kiko chini mno, hafai kuwa Liverpool.
Nimemchunguza toka alipopewa beji ya u captain. Nimegundua Henderson ni mchezaji muhimu mno kwenye mfumo wa Klopp, that's why huwa anampamga gem kubwa kubwa.
Ana spirit ya uongozi, ana moyo wa kujituma mpaka tone la mwisho pale anapokosea. Move, pressing yoyote!
Hiyo ndiyo maana ya uongozi. Kuwa mfano kwa wengine! Henderson anafanya, anacheza vile ikiwa ni maelekezo ya kocha Klopp ndiyo yanamtaka awe hivyo. Na siyo kwamba ndo alivyo.
Tena sasa hivi ame-improve vizuri mnoo tofauti na mwanzo. Angalia move zake, pressing, anavyo-secure line japo anacheza kiungo ya juu, na nafasi hatengenezi nyingi. Ila anafanya kile alichotumwa na kocha.
Siongelei kuhusu cross matata aliopiga mechi na City, bali alivyocheza siku ile. Kama uliangalia vizuri baada ya Henderson kutoka nje kule kwa TAA akawa anazidiwa na Sterling mpaka Gomez akaja kumtuliza.
Tumheshimu captain japo hana mambo matamu kama ya "Captain Fantastic" Steven Gerard.
Apewe heshima yake. Maamuzi ya kocha yaheshimiwe.
Pancho boy
Najua kuna watu hawampendi, wanaona kiwango chake kidogo, kiko chini mno, hafai kuwa Liverpool.
Nimemchunguza toka alipopewa beji ya u captain. Nimegundua Henderson ni mchezaji muhimu mno kwenye mfumo wa Klopp, that's why huwa anampamga gem kubwa kubwa.
Ana spirit ya uongozi, ana moyo wa kujituma mpaka tone la mwisho pale anapokosea. Move, pressing yoyote!
Hiyo ndiyo maana ya uongozi. Kuwa mfano kwa wengine! Henderson anafanya, anacheza vile ikiwa ni maelekezo ya kocha Klopp ndiyo yanamtaka awe hivyo. Na siyo kwamba ndo alivyo.
Tena sasa hivi ame-improve vizuri mnoo tofauti na mwanzo. Angalia move zake, pressing, anavyo-secure line japo anacheza kiungo ya juu, na nafasi hatengenezi nyingi. Ila anafanya kile alichotumwa na kocha.
Siongelei kuhusu cross matata aliopiga mechi na City, bali alivyocheza siku ile. Kama uliangalia vizuri baada ya Henderson kutoka nje kule kwa TAA akawa anazidiwa na Sterling mpaka Gomez akaja kumtuliza.
Tumheshimu captain japo hana mambo matamu kama ya "Captain Fantastic" Steven Gerard.
Apewe heshima yake. Maamuzi ya kocha yaheshimiwe.
Pancho boy