Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Mwaka 2020 umeanza na fumua fumua ya hali ya juu pale BRELA lakini kwetu wadau wa BRELA na wadau wa wawekezaji tunaona ndiyo kwanza kero imeanza.
Wakati wa KAKWEZI japo BRELA kulikuwa na urasimu na baadhi ya madudu lakini angalu mambo yalikuwa yanaenda, kwa sasa kusajili KAMPUNI Tanzania kwa njia ya mtandao ya kupasa uweke mwezi mzima, utaambiwa:
a) Mfumo upo kwenye matengenezo
b) Maombi yapo FINAL DECISION; hii ni kero kuanzia mwaka 2020 uanze kuitatua
c) Uelewa wa masuala ya makampuni na kodi ni mdogo sana sana kwa watumishi pale BRELA
MKURUGENZI MPYA TUNAOMBA ZINGATIA HAYA ILI KUENDANA NA KASI YA UWEKEZAJI NCHINI
1. Ondoa kasumba ya watu kuajiriwa kwa kujuana, najua wewe umetoka BoT hebu jaribu kufanya BRELA iwe na watu wenye brain kidogo kama TRA, BOT etc
2. Anzisha mafunzo (Mafunzo endelevu) kwa vijana wako, kusema kweli wengi hapo hata Company Law (sheria wanayosimamia kila siku) hawaijui. Kuna mawakili wako kwenye practice kwa muda sasa, jaribu kuwaomba waje watoe mafunzo hapo BRELA kuboresha utendaji.
3. Anzisha mafunzo au seminar za Corporate Management and Tax Implications, vijana wako wajue implications za any changes to a company na mambo ya kodi na athari katika uchumi. Naona hapo BRELA mnamtegema Seka kila kitu, huyo Seka yuko busy sana; tafuta watu smart wa kumsaidia, kumbuka BRELA ndo kitovu cha biashara nchini.
4. Boresha mfumo wako ORS, bado una mapungufu mengi sana, sana. Mfano, leo hii mtu akitaka kubadili MEMART ya kampuni yake bado hamna standard nini kifanyike. Kampuni ikiwa na shareholder public haiwezi kwenda online, kampuni ikiwa na shareholder ambaye sio individual au company mfano NGO haiwi accomodated etc.
5. Kutana na wadau hasa Mawakili na Accountants wakusaidie kutatua changamoto, mwenzako Kakwezi alifanikiwa kwenye hili.
6. Rudisha utumishi wafanyakazi wala rushwa na wasio jua kitu zaidi ya kuleta ukiritimba, na dharau.
7. Hebu ifanya BRELA iwe na hadhi ya BoT, ndo maana umewekwa hapo kwa kazi maalumu.
8. BRELA inaweza kuwa kitovu kikubwa cha ukwepaji wa kodi hasa usipokuwa na lawyers makini katika masuala ya company structure and restructure.
8. Kama kuna tatizo kwenye mfumo, hebu toeni taarifa kwa wadau.
Asante.
Wakati wa KAKWEZI japo BRELA kulikuwa na urasimu na baadhi ya madudu lakini angalu mambo yalikuwa yanaenda, kwa sasa kusajili KAMPUNI Tanzania kwa njia ya mtandao ya kupasa uweke mwezi mzima, utaambiwa:
a) Mfumo upo kwenye matengenezo
b) Maombi yapo FINAL DECISION; hii ni kero kuanzia mwaka 2020 uanze kuitatua
c) Uelewa wa masuala ya makampuni na kodi ni mdogo sana sana kwa watumishi pale BRELA
MKURUGENZI MPYA TUNAOMBA ZINGATIA HAYA ILI KUENDANA NA KASI YA UWEKEZAJI NCHINI
1. Ondoa kasumba ya watu kuajiriwa kwa kujuana, najua wewe umetoka BoT hebu jaribu kufanya BRELA iwe na watu wenye brain kidogo kama TRA, BOT etc
2. Anzisha mafunzo (Mafunzo endelevu) kwa vijana wako, kusema kweli wengi hapo hata Company Law (sheria wanayosimamia kila siku) hawaijui. Kuna mawakili wako kwenye practice kwa muda sasa, jaribu kuwaomba waje watoe mafunzo hapo BRELA kuboresha utendaji.
3. Anzisha mafunzo au seminar za Corporate Management and Tax Implications, vijana wako wajue implications za any changes to a company na mambo ya kodi na athari katika uchumi. Naona hapo BRELA mnamtegema Seka kila kitu, huyo Seka yuko busy sana; tafuta watu smart wa kumsaidia, kumbuka BRELA ndo kitovu cha biashara nchini.
4. Boresha mfumo wako ORS, bado una mapungufu mengi sana, sana. Mfano, leo hii mtu akitaka kubadili MEMART ya kampuni yake bado hamna standard nini kifanyike. Kampuni ikiwa na shareholder public haiwezi kwenda online, kampuni ikiwa na shareholder ambaye sio individual au company mfano NGO haiwi accomodated etc.
5. Kutana na wadau hasa Mawakili na Accountants wakusaidie kutatua changamoto, mwenzako Kakwezi alifanikiwa kwenye hili.
6. Rudisha utumishi wafanyakazi wala rushwa na wasio jua kitu zaidi ya kuleta ukiritimba, na dharau.
7. Hebu ifanya BRELA iwe na hadhi ya BoT, ndo maana umewekwa hapo kwa kazi maalumu.
8. BRELA inaweza kuwa kitovu kikubwa cha ukwepaji wa kodi hasa usipokuwa na lawyers makini katika masuala ya company structure and restructure.
8. Kama kuna tatizo kwenye mfumo, hebu toeni taarifa kwa wadau.
Asante.