HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Kuna Daktari wa Hospital ya Bunazi Anaitwa Patrick Mwesige anaishi bukoba mjini yupo halimashauri Bunazi namba yake ya simu 0762049842 amekuwa akidai rushwa ya ngono kwa wagonjwa wake kuna dada mmoja mtoto wake alikuwa anaumwa na hana pesa Dr huyo akamwambia ukitaka huduma lazima unipe penzi dada huyo hakuwa na jinsi ikabidi akubaliane na masharti yake kwa bahati mbaya akampa hadi mimba na aliikubali kutunza kwa kuwa huyo Dada alikuwa single mother hadi amejifungua lakini Dr alimgeuka pia ana tembea sana na wake za watu huyu Dr ni orodha ndefu wewe Patrick kumbuka una mke na watoto lakini bado umeendelea kutaka rushwa ya ngono ili utoe huduma hili swala Mkurugenzi naomba lishughulikie maana linaushahidi tutalifikisha hadi kwa waziri wa Afya