Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Mkuu yote kwa yote waajiri PISI KALI....Vitoto flani hivi vya kimbulu ama kinyaturu.Kwako mkurugenzi wa TANOIL fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida.
Whatsapp/call: +255687746471
Ni kama utani lakini ndio biashara ipo hivyo.Mkuu yote kwa yote waajiri PISI KALI....Vitoto flani hivi vya kimbulu ama kinyaturu.
Ataona jinsi wateja watakavyomiminika katika sheli zake. Vituo vya kujaza mafuta sasa hivi ni kama bar tu.
Kwako mkurugenzi wa TANOIL fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida.
tact@bgeditors.com
Whatsapp/call: +255687746471
Swali 1:Vitu vingi, kwa mfano bonus, vinajirudia rudia.
Vitu Vingine kwa mfano cafe, car wash, car repair/maintainance etc vinafanywa na makampuni mengine na kwa hiyo hakuna kipya.
Kutumia wasichana wazuri/wanaovutia na kuwaacha wabaya/ wasiovutia ni ubagazi. Labda kama tanoil siyo equal opportunity employer
Sisi wateja, bei ya mafuta siyo tatizo ila tunaangalia ubora wa mafuta. Total wanapata wateja wengi kwa sababu ya ubora wa mafuta yao. Yana excellium
Halafu kuna imani iliyojengeka kwenye vichwa vyetu kwamba mashirika ya umma hayatoi huduma bora wala hawajali wateja. Ukifikiria huduma za tanesco, trl, ttcl, udart, nhif, etc hutashawishika kwenda tanoil
Swali 2:Vitu vingi, kwa mfano bonus, vinajirudia rudia.
Vitu Vingine kwa mfano cafe, car wash, car repair/maintainance etc vinafanywa na makampuni mengine na kwa hiyo hakuna kipya.
Kutumia wasichana wazuri/wanaovutia na kuwaacha wabaya/ wasiovutia ni ubagazi. Labda kama tanoil siyo equal opportunity employer
Sisi wateja, bei ya mafuta siyo tatizo ila tunaangalia ubora wa mafuta. Total wanapata wateja wengi kwa sababu ya ubora wa mafuta yao. Yana excellium
Halafu kuna imani iliyojengeka kwenye vichwa vyetu kwamba mashirika ya umma hayatoi huduma bora wala hawajali wateja. Ukifikiria huduma za tanesco, trl, ttcl, udart, nhif, etc hutashawishika kwenda tanoil
Mkuu sisi tupo kwaajili ya kushauri tu. Ushauri ni bure kabisa. Anayependa ataufuata.Aisee chalii mbona unauza nyaraka ?
Inashangaza sana mkuu lakini huo ndio utaratibu wetu wa salamu.Duh, watu wanamshukuru Raisi Kwa uhuru wa kuongea? Kama kweli Kuna mbingu na moto basi mnaishi motoni tuu, viongozi kuonekana miungu mtu ni culture ya ovyo sana na ndio chanzo cha umaskini wa kujitakia
Hapa kuna haja serikali ifanye jambo.Nchi inamaajabu kweli. Eti kampuni ya mafuta inapata hasara na viongozi wanaangaliwa tu.
Shit
Nyaraka zipi mkuuAisee chalii mbona unauza nyaraka ?
Sawa boss tunaomba Mungu ikae sawa. Hivj hakuna njia ya kuwamonitor wabadhilifu in real time kabala hawajachota fedha.TANOIL Ipo kwenye reformation boss. Kweli unachosema imeshuka. Ila ipo kwenye mipango, ilipoteza mtaji mkubwa sana, baada ya ubadhirifu mwaka jana. Npo kwenye biashara ya mafuta naelewa hilo. Usikonde itakaa sawa.
Mkuu nimeandika vile kwasababu hilo ni swala la kiserikali. Nimekuja hapa kuishauri serikali nzima.Unashindwa kumshukur Mungu kukupa uhai unawaza binadam mpumbavu sana wew
Mkuu pole sana lakini mbona hiyo haina shida kwasababu ushauri niliyo toa unaihusu serikali nzima.Umenikera tu kumshukuru saa 100 ivi hamuwezi fanya au kuongea lolote bila kimtaja? Nnakuignore from now
Kwanza ilitakiwa magari ya serikali yajaze mafuta TANOILHao Tanoil waweke mfumo wa kadi kama Total,Lake oil.
Magari mengi ya mashirika,serikali na kampuni kubwa wanajaza Total kwa kutumia Kadi